Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Ifahamike kuwa Mh Samia RJMT alisema mikutano ya ndani siyo marufuku...So kwa Imani take ya kidini alikuwa anadanganya?
 
Huu ujinga wenu, fanyieni huko moshi na arusha,

Kwenye raha watu wa Mwanza mnawaita watu wa mwendazake

Ikifika kwenye kuandamana eti twendeni Mwanza

Maanina zenu.
 
Shida Moja ya uongozi wa CCM kila anaewapinga Wao Wanataka kumuua..mtawaua wangapi?? hawachoki kumwaga damu na kufanya siasi safi za ukinzani wa hoja bila kuuwana? Katiba mpya n haki ya msingi kwa Faida ya Kila Mtanzania kwan katiba iliyo saivi ni ya kikoloni yaan Power ya Malkia Kutawala Makolin ndo hiyohiyo alipewa Raisi kutawala Tanganyika..hii sio sawa ili tupate maendelea inatakiwa Hoja za wanachi zisikilizwe kwa mujibu wa Sheria..I wonder Had uyu mama nae kaanza haya mambo hayatamfikisha popote..anaowatuma saivi wakateke badae watamsaliti na kuanza kuvujisha Taarifa muhimu kwa wapinzani Ajifunze kwa Late Jiwe.polen CDM wote
 
Huu ujinga wenu, fanyieni huko moshi na arusha,

Kwenye raha watu wa Mwanza mnawaita watu wa mwendazake

Ikifika kwenye kuandamana eti twendeni Mwanza

Maanina zenu.
Na pia wanataka katiba Mpya kwa tamaa zao za madaraka tu . Hawana muda na shida za wananchi . Japo katiba Mpya ni muhimu, ila kuja kuwapa nchi watu wa aina kama chadema hapana .
 
Hivi wewe hujui mpaka sasa hao watu wamekamatwa kwa sababu gani? Unataka polisi wakufundishe kwa nini Mbowe na wenzake wamekamatwa?
Na hivi miamba Seifu sharifu, Ndesamburo, na mwamba Prof. Baregu wako wapi? Kifo ni yeyote hivyo hakiwezi kuwa adhabu maana kila mtu atakufa.
 
Maendeleoo hayana vyama ...
 
Wote tunapita, kwani huyo mwamba wenu ataishi milele?
Wenzio unaowatetea wanaishi maisha ya kifahar ww sindikiza hapa duniaan ss tunataka katiba mpya coz ni watu na pesa zetu hatutegemei ccm kuendesha maisha kma ww
 
waliokubali ni mataga maana kila alichosema marehemu kwao ilikuwa ni ndioooooooo
Basi kama wewe sio mnyonge,acha fanya kitu uwasaidie hao CHADEMA waliokamatwa na ikiwa huwezi kufanya hivyo basi wewe ni mnyonge tu hapa Tz, maana hata nilisema nizungumzie pesa bado ulikuwa unalia kuhusu tozo.
 
You fought JPM instead of fighting the system. Mambo ni yale yale, CCM itoke!

Mkuu miaka yote CHADEMA imekuwa ikipambana na mfumo wa chama dola (CCM). Bila shaka mwenyewe umeshuhudia madhila na dhahama iliyopitia CHADEMA katika harakati hizo. Kuanzia vipigo, vifungo, mateso, na hujuma kwa makada wake ikiwa ni pamoja na rushwa za pesa na vyeo zilizowahamisha baadhi toka kwenye chama.

Juhudi za kudai katiba mpya zilianza awamu ya nne baada ya kuonekana umuhimu wa kuwa na blueprint ya mfumo unaotakiwa kabla ya kuanza kudai kipengele kimoja kimoja.

Kupambana na JPM awamu ya tano lilikuwa ni suala maalum tu kwani bila simile wala haya alibana kabisa uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zao na kuigeuza nchi kuwa virtual dictatorship. Hata CCM kwenyewe mambo hayakuwa shwari. Kila kitu kilikuwa ni yeye tu. Alibomoa mifumo yote ya chama na serikali na kujiweka muamuzi wa kila kitu nchini personally.

Katika mazingira ya aina hiyo, mapambano yoyote ya kisiasa yalionekana kumlenga JPM zaidi. Alishakuwa kikwazo cha ziada.

Sasa wote tunashuhudia kuwa CCM is hell-bent on ensuring the status quo remains solidly. CCM hawataki mabadiliko kabisa. Katiba mpya ndio imekataliwa kabisa hivyo, Wananchi nao wameshatishwa kuangamizwa na vyombo vya dola wakijaribu kuunga mkono harakati za mabadiliko. Na wengi wanaamini katika “kutoboa one day” bila mabadiliko ya mazingira ya kisiasa. It’s a no-win situation for CHADEMA.

Najiuliza safari hii Mbowe na wenzake watakuja na hesabu zipi. I wish them all the best. Very courageous guys in a, unfortunately, terribly docile country.
 
Kukamata waharifu hadi wawape taarifa


USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…