Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

UVCCM walifanya mkutano Jana Dodoma. Nyoko zao let's wait and see!
 
Mama angejikalia kimya tu huku asingesikia kelele.
Hilo kongamano hata hapo mwanza wengine wasingejua.
Ujinga mtupu
 
Polisi ndo wamefanya kosa,kuwavunjia milango na kuwakamata wakati wamelala.
Kweli we CPL.
 
Ni Uzalendo kuhudhuria Kongamano la Katiba Mpya hata Mapolisi wajue kuwa hiyo Katiba mpya ni kwa ajili ya vizazi vyao
 
Huyo Mbowe anataka kukamatwa, na akamatwe tu kwani yeye anajifanya ni nani?
 
Ni Uzalendo kuhudhuria Kongamano la Katiba Mpya hata Mapolisi wajue kuwa hiyo Katiba mpya ni kwa ajili ya vizazi vyao
Polisi hawahawa wa Tanzania au unazungumzia polisi wa burindi?
 
Uhalifu unatakiwa kudhibitiwa kabla haujafanyika.
Unayo nakala ya katiba hapo ulipo?.nionyeshe in kifungu gani kinakataza mikutano ya siasa keenye nchi iliyo chini ya vyama vingi?,hivi unajua katiba inaruhusu hata maandamano ya amani tena wanasindikizwa na polisi bila kuwabugudhi.
 
Madaraka yanapita so sio kitu cha kuji proud.... Sabaya ni wa kulala kwenye sakafu?

Then mnaringia jeshi ili ku-intumidate watu wasiandamane? Nlidhani ni face off na CCM as civilians. Nakuhakikishia tungeheshimiana zamani sana kama kule kusini.
Una uhakika sabaya analala jela? Naona Kama Kuna maigizo hivi
 
Mbona misikitini na makanisani hawakamatwi..idiot
 
Ni sahihi wakikamatwa! Ni juzi juzi tu mbowe kadai kaka yake kafa kwa corona!! Halafu anajichanganya na watu klj awaambukize corona!! Hafai huyu!! Nani ajuaye kuwa naye aliambukizwa wakati anamuuguza kaka yake?
 
Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
 
Una uhakika sabaya analala jela? Naona Kama Kuna maigizo hivi
Najua ataachiwa tu baada ya miezi kadhaa but walau ni funzo kwamba sheria hizo hizo zinazotumika vibaya eg: kesi za uhujumu uchumi kukosa dhamana zitatumiwa na kwao pia.
 
Bora suala la kukamatwa Mbowe limesaidia kupunguza tension ya tozo za miamala. Good strategy on part of Govt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…