Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
UVCCM walifanya mkutano Jana Dodoma. Nyoko zao let's wait and see!Salami wana jamvi nimesikitika Sana kuona kilicho WA kuta viongozi wa chadema waliokua kwenye kongaamano LA katiba mpya kukamatwaa nakutiwa mbaroni na maafisa wapolisi mkoani mwanza tuna laani kitendo hicho kwani ni kitendo cha ovyoo na cha ajabuu Sana kutokea wakati huuu ambayo nchi inahitaji mabadiliko ya katiba