Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kwani hakufanya ?!. Mama anapotoshwa tu na wahafidhina lakini ni mtu kuliko mwendazakeMkuu kwani sasa hivi si mnapumua baada ya dhalimu wenu kufariki?
Unaonaje lakin mama anavyowakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy?
sasa kwani ulitegemea magufuli yeyeView attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Kuchanjwa ni ajabu?Wewe mbona umechanjwa chanjo kibao kama vile chanjo ya Surua,chanjo ya pepopunda,chanjo ya kifua kikuu,chanjo ya polio na kadhalika?Kwa hiyo wewe ni kichaa tayari?MATAGA hamna akili!Bila shaka ushachanjwa .
Sasa akili zimesharuka
Hao ni wahalifu piaPolisi wapuuzi sana bado wapambane na uhalifu wao busy na CHADEMA.
Huyo anachoweza ni kushinda Bar anakunywa bia, kutokana na michango ya pesa za nyumbu.Huyo ni jamaa fulani hivi wa twitter, anajiita Martin M ni mfuasi mkubwa sana wa kigogo.
Sasa kwanini akubali hao wahafidhina wampotoshe?Kwani hakufanya ?!. Mama anapotoshwa tu na wahafidhina lakini ni mtu kuliko mwendazake
Kina mmawia walidemka sana mle nataka nikawasalimieUle tulipigwA..
Matango Yale..
Nyingi sana . Sitaki wateule watuamulie badala ya viongozi tuliowachagua . Pili kuwe fair kwenye chaguzi zetu.Haki gani umeikosa kwa katiba hii iliyopo?
Eeeh mzee wa bladifakeni[emoji23]Kumnmbe ndio huyu
Mtu anaeendekeza ukabila ni muflis wa hojaLeo sikukuu yangu imeenda vizuri Sana,jogoo wangu niliyemuandaa atalika vizuri kweli kweli .
Mama endelea kuwanyoosha Hawa viwavi jeshi, sio minne tu mama ni mikumi na mitano.
Mbowe na genge lake la wachagga Ni baadhi tu ya viumbe wasiotakikana katika nchi hii
Mjinga mwingine kutoka chato huyu hapa, hivi kweli wewe ulimwona magu mtu wa maana?!Leo sikukuu yangu imeenda vizuri Sana,jogoo wangu niliyemuandaa atalika vizuri kweli kweli .
Mama endelea kuwanyoosha Hawa viwavi jeshi, sio minne tu mama ni mikumi na mitano.
Mbowe na genge lake la wachagga Ni baadhi tu ya viumbe wasiotakikana katika nchi hii
Kwa hiyo hawana haki ya kufanya kongamano,tena la ndani? Kwani katiba inasemaje?Upinzani nao wapuuzi ni watu gani ambao wakati wate wanatafuta mapambano ?hakuna wakati wa kutii mamlaka? Wao ni kina nani? Waache wanyooshwe wajinga hao
Wapuuzi nyinyi.....mama wa watu kawakosea nini!!?Inasikitisha Sana,mama SSH hana muda mrefu Sana madarakani!!!!
She is creating her own grave.
Ilikuwa Rhodesia ya kusini hivi sasa Zimbabwe.Hata kule South Africa, Ian Smith alikua na kiburi kama chako.
I have always believed that Mtikila was killed just like Wangwe was.magufuli died from natural causes bwana sawa na ndesamburo, bob makani, mtikila, alcardo ntazagwa na wengne wengi