Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mkuu kwani sasa hivi si mnapumua baada ya dhalimu wenu kufariki?

Unaonaje lakin mama anavyowakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy?
Kwani hakufanya ?!. Mama anapotoshwa tu na wahafidhina lakini ni mtu kuliko mwendazake
 
View attachment 1861764

View attachment 1861765
View attachment 1861766

Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.

Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)

Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.

=====

My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.

Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
sasa kwani ulitegemea magufuli yeye
aishi milele!

au una ushahidi kuwa jpm alikatishwa uhai wake kwa 'mkono wa mtu'

magufuli died from natural causes bwana sawa na ndesamburo, bob makani, mtikila, alcardo ntazagwa na wengne wengi
 
Leo sikukuu yangu imeenda vizuri Sana,jogoo wangu niliyemuandaa atalika vizuri kweli kweli .

Mama endelea kuwanyoosha Hawa viwavi jeshi, sio minne tu mama ni mikumi na mitano.

Mbowe na genge lake la wachagga Ni baadhi tu ya viumbe wasiotakikana katika nchi hii
 
Leo sikukuu yangu imeenda vizuri Sana,jogoo wangu niliyemuandaa atalika vizuri kweli kweli .


Mama endelea kuwanyoosha Hawa viwavi jeshi, sio minne tu mama ni mikumi na mitano.

Mbowe na genge lake la wachagga Ni baadhi tu ya viumbe wasiotakikana katika nchi hii
Mtu anaeendekeza ukabila ni muflis wa hoja
 
Leo sikukuu yangu imeenda vizuri Sana,jogoo wangu niliyemuandaa atalika vizuri kweli kweli .


Mama endelea kuwanyoosha Hawa viwavi jeshi, sio minne tu mama ni mikumi na mitano.

Mbowe na genge lake la wachagga Ni baadhi tu ya viumbe wasiotakikana katika nchi hii
Mjinga mwingine kutoka chato huyu hapa, hivi kweli wewe ulimwona magu mtu wa maana?!
 
Eti 'Tunalitaka jeshi la polisi' Unanijumuisha na mimi kijinga jinga namna hii sema unalitaka peke yako
 
Back
Top Bottom