Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tozo ziko pale paleWanatusahaulisha mambo ya tozo
Unless you move out of the keyboard, you ain't fighting.We will fight her to hell
Mama anafungua nchi, anatufuta machozi baada ya kutabika miaka 5, mama anaupiga mwingi Sana!! [emoji2][emoji2]View attachment 1861742
View attachment 1861743
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Alafu ulikuwa hupendi kuitwa Mnyonge na Magufuli? Tozo Tozo Tozo ndo umekuwa wimbo, pambana ulioe kodi.Wanatusahaulisha mambo ya tozo
Sasa mnalialia nini wakati dhalimu wenu kafa na sasa mnapumua?Ni mwanzo tu wa mapambano, dhalimu alikua kifungo cha kwanza. Mungu ametusaidia kukifungua.
Get to your senses.Hata kule South Africa, Ian Smith alikua na kiburi kama chako.
Anamwaga hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokotaMama anafungua nchi, anatufuta machozi baada ya kutabika miaka 5, mama anaupiga mwingi Sana!! [emoji2][emoji2]
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mbowe anakutetea wewe maskini mkubwa; juzi tu hapa walishakuwekea kodi ya maskio yako akina Mbowe unaowatukana wamepiga kelele na Samia na genge lake wameona aibu. Jifunze kuwa na akili mkuu.Hata mbowe ni Dikteta mwenye maumbile ya makengeza
Acha masiharaKwani wewe si miongoni mwao?
Mama atatuachia katiba mpya [emoji23].Anamwaga hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota
[emoji23][emoji23][emoji23]
Masihara gani?Acha masihara
Tuliwaonya humu lakini wakashupaza shingo wacha yawakuteMama atawaachia katiba mpya Ili Sukuma gang wateseke, au nasema uongo ndugu yangu?[emoji23]
Wewe utakuwa umekunywa mbege iliyochacha.Mbowe anakutetea wewe maskini mkubwa; juzi tu hapa walishakuwekea kodi ya maskio yako akina Mbowe unaowatukana wamepiga kelele na Samia na genge lake wameona aibu. Jifunze kuwa na akili mkuu.
Leo hii unamwita kipenzi chako Samia genge?Mbowe anakutetea wewe maskini mkubwa; juzi tu hapa walishakuwekea kodi ya maskio yako akina Mbowe unaowatukana wamepiga kelele na Samia na genge lake wameona aibu. Jifunze kuwa na akili mkuu.
Sawa pambana ulipeAlafu ulikuwa hupendi kuitwa Mnyonge na Magufuli? Tozo Tozo Tozo ndo umekuwa wimbo, pambana ulioe kodi.