Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

“Anayesimama mbele yenu ni dictator katika maumbile ya kike…”
View attachment 1861742

View attachment 1861743

My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.

Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?

Sikuku njema

Haya toeni namba za michango faster 🤣🤣

Duh kumbe wote ni walewaleee,
Inasikitisha sana.

Wamekamatwa kwa kosa gani?

You fought JPM instead of fighting the system. Mambo ni yale yale, CCM itoke!

Samia proving her point..

Series of idiots ccm Ni devil
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Unataka Katiba mpya ambayo itahamisha nguvu kutoka ccm iende chadema 😆😆😆 eti ndio Katiba mpya,huu ujinga ndio maana unawa cost hamna backing ya wananchi .

So long as wananchi wako kimya automatically wanakubaliana na Katiba ya Sasa,huna wananchi utafanya siasa au movement gani sasa?

Watu wanajengewa hospital kama hizi hapa utawaambia waandamane watakueleza?👇

View attachment 1861749

View attachment 1861750

View attachment 1861751
Hata kule South Africa, Ian Smith alikua na kiburi kama chako.
 
Government kufanya kazi zake hakuzuii haii za makundi mengine ya kijamii zilizoko kwa mujibu wa sheria.
Hizo haki zenu zisi collide na govt machinery kinyume chake you will suffer.

Hapo mama asiwatoe wakae ndani hadi 2026 ndio akili zitakaa sawa.

Niliwahi kuwaambia hao wazungu wanaowafadhili hawana shida na nyie wao wanaangalia maslahi yao so long as sera za biashara na uchumi ziko friendly kwao you will never get any support from them rather than mere diplomatic press.

Kosa la Magu ni kupambana na mabeberu lakini Maza hana sera mbaya kwenye uchumi ko haya mambo ya siasa ni masuala ya ndani.

Ili wapinzani mu win hili lazima watu wawe tayari kuwapigania,that is politics
 
Dah, inasikitisha Sana, nilipenda Sana mama apige mpaka 2030.Duh...
 
Back
Top Bottom