“Anayesimama mbele yenu ni dictator katika maumbile ya kike…”
View attachment 1861742
View attachment 1861743
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Sikuku njema
Haya toeni namba za michango faster 🤣🤣
Duh kumbe wote ni walewaleee,
Inasikitisha sana.
Wamekamatwa kwa kosa gani?
You fought JPM instead of fighting the system. Mambo ni yale yale, CCM itoke!
Samia proving her point..
Series of idiots ccm Ni devil