Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

View attachment 1861742

View attachment 1861743

My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.

Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Huo ni uonevu lkn mwendazake alikuwa hivyo hivyo leo hii yu wapi?
 
Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharau
Government kufanya kazi zake hakuzuii haii za makundi mengine ya kijamii zilizoko kwa mujibu wa sheria.
 
Safi Sana huyu kibaraka wa mabeberu akome,nadhani sasa ataiheshimu taasisi ya urais,huwezi mtisha rais na kumpangia Mambo as if unampangia housemaid wako

Jamaa alidhani kuvunjika kwa koleo ndo mwisho wa uhunzi .

Polisi wabinye korodani zake kadi makengeza yake yawe sawa.
 
Nilisema toka mwanzo kwamba hakuna mtu mwema anaweza akatoka ccm .Wote ni wale wale tu.Nyie mtapiga kura kwengine,sisi tutaunda serikali.
Unataka Katiba mpya ambayo itahamisha nguvu kutoka ccm iende chadema 😆😆😆 eti ndio Katiba mpya,huu ujinga ndio maana unawa cost hamna backing ya wananchi .

So long as wananchi wako kimya automatically wanakubaliana na Katiba ya Sasa,huna wananchi utafanya siasa au movement gani sasa?

Watu wanajengewa hospital kama hizi hapa utawaambia waandamane watakueleza?👇

IMG_20210718_133042_674.jpg


IMG_20210718_133057_396.jpg


IMG_20210718_133338_254.jpg
 
View attachment 1861742

View attachment 1861743

My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.

Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?

Nilisema toka mwanzo kwamba hakuna mtu mwema anaweza akatoka ccm .Wote ni wale wale tu.Nyie mtapiga kura kwengine,sisi tutaunda serikali.
Upinzani nao wapuuzi ni watu gani ambao wakati wate wanatafuta mapambano ?hakuna wakati wa kutii mamlaka? Wao ni kina nani? Waache wanyooshwe wajinga hao
 
Sidhani kama hili litaepusha kero kwa wananchi juu ya gharama za miamala ya simu na upandaji wa bei za pembejeo za kilimo na mafuta. Sidhani!
 
Back
Top Bottom