Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kutotii amri za mwenye absolute power.Wamekamatwa kwa kosa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutotii amri za mwenye absolute power.Wamekamatwa kwa kosa gani?
Peaneni tu hati za kuimiliki tanzania ilihali mkiwadhulumu wengine na kukiuka sheria,halafu mkiwadhihaki raia,kwani hui kwenu ndio uzalendo.Safi Sana ngoja akasherekee Idd vizuri.Vipi wanaharakati wa twitter na Jf hamjaanza kuandamana tuu?😁😁😁😁
Suu!View attachment 1861742
View attachment 1861743
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharauWananchiiiiiiiiíiiiii.
Hivi mnasema mnao wananchi wa kushinikiza katiba mpya, hao wananchi wako wapi ?
Kila nchi lazima kuwe na utaratibu ukijifanya mjuaji itakula kwako.Peaneni tu hati za kuimiliki tanzania ilihali mkiwadhulumu wengine na kukiuka sheria,halafu mkiwadhihaki raia,kwani hui kwenu ndio uzalendo.
Huo ni uonevu lkn mwendazake alikuwa hivyo hivyo leo hii yu wapi?View attachment 1861742
View attachment 1861743
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
[emoji3][emoji3]wale wanaochanga michango kwa watu kama mdude.Wananchiiiiiiiiíiiiii.
Hivi mnasema mnao wananchi wa kushinikiza katiba mpya, hao wananchi wako wapi ?
Government kufanya kazi zake hakuzuii haii za makundi mengine ya kijamii zilizoko kwa mujibu wa sheria.Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharau
Wao huwa wanaandamana kwa hashtags, #FreeMbowe[emoji13]Safi Sana ngoja akasherekee Idd vizuri.Vipi wanaharakati wa twitter na Jf hamjaanza kuandamana tuu?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Unataka Katiba mpya ambayo itahamisha nguvu kutoka ccm iende chadema 😆😆😆 eti ndio Katiba mpya,huu ujinga ndio maana unawa cost hamna backing ya wananchi .Nilisema toka mwanzo kwamba hakuna mtu mwema anaweza akatoka ccm .Wote ni wale wale tu.Nyie mtapiga kura kwengine,sisi tutaunda serikali.
View attachment 1861742
View attachment 1861743
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Upinzani nao wapuuzi ni watu gani ambao wakati wate wanatafuta mapambano ?hakuna wakati wa kutii mamlaka? Wao ni kina nani? Waache wanyooshwe wajinga haoNilisema toka mwanzo kwamba hakuna mtu mwema anaweza akatoka ccm .Wote ni wale wale tu.Nyie mtapiga kura kwengine,sisi tutaunda serikali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbowe ana wafuasi wajinga sana mkuuHaya toeni namba za michango faster [emoji1787][emoji1787]
Kwani wewe si miongoni mwao?Wamekamatwa kwa kosa gani?