Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbafHapana
Haya toeni namba za michango faster 🤣🤣
Kwa mwana uvccm unategemea watafanya nini zaidi ya kutaka ku divert tukio zima?Nadhani tukio ni kwamba kuna watu wamekamatwa na si akina nani walikuwa hoteleni na walikuwa wakifanya nini kwa sababu haikatazwi kuwa hoteleni na kama inakatazwa, kwa nini zipo? Mbona unahamisha mjadala?
Ushamba sana wewe ndumila kuwili wa lumumbaNiko humu tangu 2015,ban utakula wewe
Umeulizwa hiyo hotel ina room moja tu?.Niko humu tangu 2015,ban utakula wewe
Hao wananchi walioshinikiza kugomea tozo za simu umewaona wakiandamana barabara gani?
Kwani wewe tayari asha kulala?Mbowe anawalala wangapi? baada ya chanjo naona anapuyanga tu
Hawezi kuwa na akili maana kutokuwa na akili timamu ndiyo moja ya kigezo cha kuwa mwana uvccmWewe una akili timamu?
PumbafSijatumwa mkuu
Nimeona taarifa kuwa Rose Mayemba, katoka Mkoa wa Njombe mpaka Mwanza na kafikia hotel aliyofikia Mbowe, hii inatia shaka, kuna nini? SAA 9 usiku!
Kwa hiyo katiba imepatikana?Katika hili, Mama ameshafeli vibaya sana.
Wanaomshauri wanamptosha na mpaka hapa CHADEMA teyari wamefanikiwa katika agenda yao ya kushinikiza madai ya katiba mpya.
Nina ndimi moja tuLilian Mtei anavumilia mengi
Dj anatomba kila mwanamke wa chadema
Ushamba sana wewe ndumila kuwili wa lumumba
Unajua ni maana ya amri?Kutotii amri za mwenye absolute power.
Mbona meco alikufa kwa koroona lkn bado watu waliendelea na maisha yao na hukuuliza wala kutoa tahadhali?Mbowe ametoka kuuguza mgonjwa was korona, nduguye ambaye hatimaye alifariki na alishiriki mazishi,busara ya kawaida ingemtaka akaye karantini siku 14 kuona kama hana maambukizi, lakini kaenda mwanza, anataka kukusanya watu, bila kujali kwamba endapo ana maambukizi atahatarisha afya zao
Scrapper ni walio amua kukutafuta kupitia kwenye mkesha wa mbio za mwengeYaani wanachoongea na kutenda haviendani
Mbowe ashakuwa scrapper
Ma scrapper woote tayari walishapigwa dafraoYaani wanachoongea na kutenda haviendani
Mbowe ashakuwa scrapper