Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

🀣🀣🀣🀣 Nilichana talaka sitaki ujinga, me najua kuolewa tu!!! Sijui kuachika.
Ule muacho had mimba ilitoka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maana ule mnuno ulikuwa kiboka,Bora wangu hata anaongea kidogo🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣Dah,imebidi nicheke japo Nina maumivu ya moyo Lamomy kumbe we ni Yuda hivi mdogo wangu?
Dada muongo huyo anataka kutugombanisha ili afanye uzinzi wake kwa kujiachia na missy gfπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nyie mbinguni siti ya mbele kabisa!maana mnaishi neno la Mungu,mkigombana hakikisheni kabla jua halijazama muwe mmepatana,, good!ila nimegundua nyie familia yangu ni maYuda sana!
🀣🀣🀣🀣 Yuda ni bro anakusaliti kweupe
Sisi tunataka mrudishe huba lenu
 
Kwa hiyo hapa anavyohubiri mwanaume lazima akuhonge kumbe anapotosha tu UMMA?ama Kweli za kuambiwa changanya na zako
🀣🀣🀣 dada si unanijua lkn? Kantry muongo me pesa napenda, sema yeye ana vichenchi za kunihonga hana
 
Eeeeeh!Bora uulize wewe shemeji!nyie msijifanye hamjasikia swali la mheshimiwa Glenn Lamomy ....ka vipi shem toa oda wapigwe rumande akili ziwakae sawa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ khaaa!!
Bro anataka kuwavuruga ili unichukie mtetezi wako aoe mke wa pili, ili tushindwe kuzuia ndoa yake uchwala
 
Uzi wa kijinga kama huu unapata comment nyingi kweli aliyeturoga kafa
 
Countrywide huyu Lamomy ni mfogo wangu, sio tu tunachat pm bali hata simu tunapigiana, hajakwambia kuwa mimi ni ahemeji yako?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kaaka hivi lkn si unajua shemeji yako msela wa R unanitakia mema kweli?
Kuteguliwa nyonga na mitama mwenzio sitaki!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huo ni uongo hakuna kitu cha lamomy sijui hata pm ilitokea tu mara moja kwa sababu maalum. Alafu leo weekend, si unajua kuna vitu vipo kichwani? [emoji23]
Kumekucha 🀣🀣🀣
Hajui km unashinda pm na msg zingine unawajibu mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ khaaa!!
Bro anataka kuwavuruga ili unichukie mtetezi wako aoe mke wa pili, ili tushindwe kuzuia ndoa yake uchwala
Kasema wewe unanisagia sana kunguni huko pm🀣Hiyo ndoa yenyewe itadumu Sasa?kila saa simu ananipigia
 
Hajamjua vizuri km anajaza bus za mkoa 10 πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Atanirudushia tu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…