Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Maana ule mnuno ulikuwa kiboka,Bora wangu hata anaongea kidogo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nilichana talaka sitaki ujinga, me najua kuolewa tu!!! Sijui kuachika.
Ule muacho had mimba ilitoka 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ule mnuno ulikuwa kiboka,Bora wangu hata anaongea kidogo🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nilichana talaka sitaki ujinga, me najua kuolewa tu!!! Sijui kuachika.
Ule muacho had mimba ilitoka 😂😂😂
Khaaaaaa!!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Tena ile screenshot ndio kila muda ananikumbusha......kaka ulidhalilishwa usirudi nyuma
🤣🤣🤣🤣 Yuda ni bro anakusaliti kweupeNyie mbinguni siti ya mbele kabisa!maana mnaishi neno la Mungu,mkigombana hakikisheni kabla jua halijazama muwe mmepatana,, good!ila nimegundua nyie familia yangu ni maYuda sana!
🤣🤣🤣 dada si unanijua lkn? Kantry muongo me pesa napenda, sema yeye ana vichenchi za kunihonga hanaKwa hiyo hapa anavyohubiri mwanaume lazima akuhonge kumbe anapotosha tu UMMA?ama Kweli za kuambiwa changanya na zako
Pm zote password unazo na unaona kila kitu baby, nilichoona penzi letu anataka kulivunja ili niwe kicheche km yeye!!🤣🤣🤣🤣Huwa mnachat pm?
Uzi wa kijinga kama huu unapata comment nyingi kweli aliyeturoga kafaHabari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
😂😂😂😂 Kaaka hivi lkn si unajua shemeji yako msela wa R unanitakia mema kweli?Countrywide huyu Lamomy ni mfogo wangu, sio tu tunachat pm bali hata simu tunapigiana, hajakwambia kuwa mimi ni ahemeji yako?
😂😂😂😂Yes kama hakuona thamani yako achana nae, thamani yako ni kubwa sana.
Kumekucha 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]huo ni uongo hakuna kitu cha lamomy sijui hata pm ilitokea tu mara moja kwa sababu maalum. Alafu leo weekend, si unajua kuna vitu vipo kichwani? [emoji23]
Mtaachana 😂😂😂Akili za kuambiwa changanya na za kuzaliwa, honey umwtokea Ukanda wa watu wenye akilo mingi, mzaramo asikusumbue, kula vitu mpenzi😍😍
😂😂😂 sio kweliUnapoozwa tu huku jamaa wanacheeeka na mkewe huku wakinywa wine😂😂😂
Kasema wewe unanisagia sana kunguni huko pm🤣Hiyo ndoa yenyewe itadumu Sasa?kila saa simu ananipigia😂😂😂😂 khaaa!!
Bro anataka kuwavuruga ili unichukie mtetezi wako aoe mke wa pili, ili tushindwe kuzuia ndoa yake uchwala
Atanirudushia tu mwenyeweHajamjua vizuri km anajaza bus za mkoa 10 🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣🤣 Siachiki ng’oTatizo hujui kuwa ana id nyingi unajua 3 tu wewe