Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Oooooh mpare jamani[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]@Lamomy njoo mchukue ndugu yako anachomoa betri

Shemeji kachoka kufichwa bora ajitaje muwaaachee puliiizzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie dada emu jiandae mapokezi ya kumkaribisha shemeji mpya [emoji2222][emoji2222]
 
Mambo nnayoyapenda hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe tena kungwi lao, ushavuluza mikole yote hakuna kinachokutisha!!!
Ya kus na kas wakuwachee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio shupa wakiweka bibi unawapiga na joker Oyooooooooo!!
 
Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi, kanizidi manake mie nina cm 160
Hana kitambo, ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Halafu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Wanawake aina yako ni mzigo kwa taifa.

Acheni vijana wagairi kuoa tu maana mtu kama wewe ambaye unajinasibu eti upo kwa wakwe bado unatamani kuliwa na linamaa ulilokutana nalo tu mtaani.
 
Back
Top Bottom