Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Oooooh mpare jamani🤦🤦🤦🤦🤦@Lamomy njoo mchukue ndugu yako anachomoa betri😀😀
Nashukuru Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooooh mpare jamani🤦🤦🤦🤦🤦@Lamomy njoo mchukue ndugu yako anachomoa betri😀😀
Nashukuru Sana
Oooooh mpare jamani🤦🤦🤦🤦🤦@Lamomy njoo mchukue ndugu yako anachomoa betri
Unajijua kabisaa!na unajua Nina allergy ya mwanaume bahili😆Bahili wa taifa
Unajijua kabisaa!na unajua Nina allergy ya mwanaume bahili😆
Mambo nnayoyapenda hayo🤣🤣🤣Kwenye ubora wako [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kungwi wamekugusa
Kesho Hatutaki thread humu za kutukandia wanawake hatunyoi🤣🤣🤣kivuruge wangu😆😆🙌
🤣🤣🤣🤣 Mi mwanaume mzuri wa Nini Sasa?mbona unanichanganyaUtakosa Wanaume wazuri kwa uroho wako wa pesa. Pumbafu
Huyo huyo!Kwanza anayemiliki EX wangu nani Sasa?mbona sielewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3]
Nashukuru Sana
Mwambie amtulize mtu wake 😏😏😏[emoji23][emoji23][emoji23] Missy Gf
Oooooh mpare jamani[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]@Lamomy njoo mchukue ndugu yako anachomoa betri
Mambo nnayoyapenda hayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mi mwanaume mzuri wa Nini Sasa?mbona unanichanganya
Halafu we Mpambe sana unatamani sana ex wangu aone🤣🤣🤣🤣ila usisahau nimeondoka mwili tu kule moyo kabaki nao ohoooooShemeji kachoka kufichwa bora ajitaje muwaaachee puliiizzz [emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie dada emu jiandae mapokezi ya kumkaribisha shemeji mpya [emoji2222][emoji2222]
Sawa nitamwambia 😂😂😂Mwambie amtulize mtu wake 😏😏😏
Mzuri my foot!Kwanza wa kazi gani? Wanakuwa km wanawake wenzetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo aya ni haya.Aisee!.
Hii imeenda. Aya kaliwe.
Wanawake aina yako ni mzigo kwa taifa.Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi, kanizidi manake mie nina cm 160
Hana kitambo, ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Halafu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
That's just a lust not love.Hapana yani kule kujiamini kwake kama mwanaume kumefanya nimpende ghafla
Yaani alivyoniita kama demu wake vile, halafu alikuwa very calm