Mwanza: Rais Samia aongea na Vijana wa Tanzania katika Uwanja wa Michezo wa Nyamagana

Mwanza: Rais Samia aongea na Vijana wa Tanzania katika Uwanja wa Michezo wa Nyamagana

Kundi la vijana ni kundi la kufanya kazi na si la kutafuta / kutengeneza kazi. Serikali itengenezeAJIRA na WAAJIRI. Hiyo ndio kazi ya serikali mengine ni porojo tu. Mara ooh vijana wajiajiri hiyo ni kukimbia wajibu. Dunia ya sasa si ya mtu kushika jembe la mkono alafu ukadai umejiajiri wewe unakimbia kutokufa kwa njaa tu!!
 
ndo nn tena hiyo mkuu?[emoji848]

Kama hata hilo tu hujui unadiriki vipi kuwaza uteuzi!

Pale Lumumba na viunga vyake wavimba macho hujipendekeza kwa kupakwa kimbo, huwa tunawaita 'wapakwa-mafuta'.
 
Kama hata hilo tu hujui unadiriki vipi kuwaza uteuzi!

Pale Lumumba na viunga vyake wavimba macho hujipendekeza kwa kupakwa kimbo, huwa tunawaita 'wapakwa-mafuta'.
Duh bac ...ngoja nikomae na mkokoteni wangu mtaani inatosha.
 
Back
Top Bottom