Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hapo KIA hamjambo?Ile fedha iliyojengewa Airport Chato ingetiwa hapo Daraja lingeisha Long time
KIA usiifananishe na hiyo Airport ya kuanikia nafaka.Hapo KIA hamjambo?
Sana Na UVCCM Wa Kushangilia Wapo Tayari Kupelekwa Huko Hata Kwa PundaHuko ndipo atatumia kupiga madongo.
Mkuu ili mradi tuu urushe mawe [emoji23]Ile fedha iliyojengewa Airport Chato ingetiwa hapo Daraja lingeisha Long time
Mmeshindwa kuiendesha na mbunge wenu Dr Mollel😀😀KIA usiifananishe na hiyo Airport ya kuanikia nafaka.
Mama Yanga Humpendi Wakati CCM Wanasema Anaupiga Mwingi MnoHuyu mtu sina imani nae kabisa, akiwa hapo atajidai kuongea maeno ya kizalendo kama vile anatujali saba wabara
Mkuu mawe rukhsa ila kupinga pinga ndio huwa sifanyi.Mkuu ili mradi tuu urushe mawe [emoji23]
He will be remembered for everUjenzi wa Daraja TSh 602.19 bilioni. Daraja la Kigongo Busisi ambalo linajengwa katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza, lina urefu wa kilometa 3.2.
Sahihi kabisaMkuu mawe rukhsa ila kupinga pinga ndio huwa sifanyi.
Hata kwenye hili Daraja Magufuli nilimuunga mkono ila kwenye Airport Chato nilimpiga madongo sana.Sahihi kabisa
Tatizo huwa hakuna development agenda kila anayekuja analeta yake.Hata kwenye hili Daraja Magufuli nilimuunga mkono ila kwenye Airport Chato nilimpiga madongo sana.
Ameshapoteza Imani kwa kiwango kikibwa kwa walio wengi. Hata aongee nn kwa sasa ni zero nothing else.Huyu mtu sina imani nae kabisa, akiwa hapo atajidai kuongea maeno ya kizalendo kama vile anatujali saba wabara
Imagine na Samia akianza kujenga huko Unguja povu litakalo mwagiika hapa jukwaani 😆Tatizo huwa hakuna development agenda kila anayekuja analeta yake.