Uchaguzi 2020 Mwanza: Shule zasitisha masomo, Wanafunzi waambiwa wakampokee na kumsikiliza Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli Uwanja wa CCM Kirumba

Jf imekuwa kijiwe cha kahawa maana habari hazina vyanzo ndio zinawekwa humu
 
Hawa jamaa kiukweli, waachie tu madaraka hawana jipya tena
 
Mikutano ya chadema imedoda kila Kona ya nchi hii.
 
Ile ya jana ndio mwanza tunayoijua , nyomi from kisesa mpaka town , watu walokuwepo igoma tu ni zaidi ya Lisu mbagala, segerea na kawe [emoji23]na hapo hapakua na wasanii, leo pale kirumba hapatoshi , huku Magu pale Diamond,
 
Ni aibu kuzuia shule kufunguliwa ili wanafunzi waende kwenye kampeni.
 
Nilijionea kwa macho yangu. Watu wanampenda sana Magufuli. Jana njiani hapakuwa na msanii wala mwanamaigizo lakini watu walikua wengi sana yaani sijui huko kirumba leo itakuaje.
Lissu kama alidhani pale furahisha alipata mafuriko leo aangalie gharika la Magufuli kirumba.
 
Niko wilaya ya Kwimba, takribani sungusungu 1300 kutoka vijiji mbali mbali wamekuwa recruited jana shule fulani ya Msingi, sasa hivi ninavyoongea mabasi yanawapeleka mjini.
 
Uwanja w kirumba hautatosha sijui itakuwaje. WATU TU WALIOJIPANGA KUMPOIKEA MAGUFULI NI MARA KUMI YA MIKUTANO YOTE LISU ALIYOFANYA NCHI NZIMA
 
Wakuu nilisikia jana lkn sikuamini mpaka asubuhi hii nilipoamua kupiga simu kwenye shule mbili za binafsi ambako watoto wangu wanasoma.
Wameagiza hakuna shule leo na watoto waruhusiwe kwenda kwenye mkutano bila uniform.

Wakuu hii maana yake nini?
Kwa nini kulazimisha kwa kiasi hiki?
Ni kweli mikutano ya magufuli ni Muhimu kuliko elimu ya watoto wetu?

Nimesikitika sn kuhusu amri hii haramu.
 
Hao wa njiani huwa wanaandaliwa kabisa. Ni kijiji gani kimaweza kuwa na watu wengi kiasi kile? Kama kweli anakunalika waache uchaguzi uwe wa haki tuone. Tegemeo lenu ccm ni tume yenu ya uchaguzi. Lakini kwenye sanduku la kura hamuwezi.
 
Wambie wanao wasiende , na wewe endelea na shughuli zako , hakuna amri wala shuruti , wanaweza pia baki shule wskapiga prepo sku nzima
Daaa.... Nimetafakari sana bado sielewi.... Watoto walikosa masomo sababu ya Corona halafu anakuja mtu anawanyima elimu kirahisi kabisa
 
Thibitisha, mm ni MWALIMU hapa Mbugani S/msingi madarasa yanaendelea.Lakini hazuiliwi MTU kwnd kumsikiliza mkuu wa nchi mahali aliko Karibu.
OVER..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…