Uchaguzi 2020 Mwanza: Shule zasitisha masomo, Wanafunzi waambiwa wakampokee na kumsikiliza Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli Uwanja wa CCM Kirumba

Uchaguzi 2020 Mwanza: Shule zasitisha masomo, Wanafunzi waambiwa wakampokee na kumsikiliza Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli Uwanja wa CCM Kirumba

Vipi wale waliokuwa wanamsubiria njiani, yaani CDM wameshikwa pabaya.
 
Fiesta eti!?
Naona mmebabaishwa sana na mapokezi tu tena ya kistaarabu lakini yakiwa na nyomi kubwa ka watu, tofauti na lile kundi wahuni wachache waliofanya mkutano viwanja vya furahisha, sasa subirini j3 mwamba atakavyounguruma CCM kirumba
 
Sasa kwanini wazuie kufungua shule mkuu?
Acha uzwazwa watu tu waliokuwa wamemsuburi njiani ni zaidi ya waliohudhuria mkutano wa Lissu, subiri kesho dawa iwaingie.
Ni Bahati mbaya sehemu ambazo zinawatia moyo Jamaa akienda anapata watu mara tano ya Lissu, halafu sehemu ambazo Magufuli na CCM wana base, Lisu anaambulia watu wa level ya udiwani, juzi Dodoma uliona
 
Acha uzwazwa watu tu waliokuwa wamemsuburi njiani ni zaidi ya waliohudhuria mkutano wa Lissu, subiri kesho dawa iwaingie.
Ni Bahati mbaya sehemu ambazo zinawatia moyo Jamaa akienda anapata watu mara tano ya Lissu, halafu sehemu ambazo Magufuli na CCM wana base, Lisu anaambulia watu wa level ya udiwani, juzi Dodoma uliona
spana za Lissu za Dodoma zimewavuruga sana mataga hadi mmepoteana 🤣🤣🤣
 
Hata enzi za Nyerere.. tulikwenda shule na kwenda kwenye ya chama.. bonge la outing.. no kusoma siku husika..

Tuliza boli...

Magufuli 2020 💯
 
Ndio maana kampeni zao zimejaa watoto
Kumbe ndo wanawategemea kujaza nafasi kwenye viwanja vyao

Tazama hiyo picha hao watoto mbele
IMG_20200906_190202.jpg
 
Naona matangazo yanaendelea ama kweli Lisu kawavuruga...
 
Acha kujidanganya watu waigoma tuu wanaweza kulingana au na kuzidi watu wote waliudhulia mikutano yenu yote ya dar nzima nyumbu nyie safari hii dawa inawaingia vizuri.
 
Mbeba maono..
Hv huyu bwana kapotelea wp,simsikii kabisa ama Kesha patiwa kazi ndogondogo za kufanya,unamkumbuka yule mgombea machachari wa chama hicho kabla ya waziri Mkuu mstaafu naye alikuwa hivyohivyo baada ya kupewa kazi kimyaaa
 
Dogo Molemo acha urongo
Katika hali isiyo ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela amesitisha kufunguliwa kwa shule zote hapo kesho ili waalimu na wanafunzi washiriki kampeni za chama Cha CCM

Hali hiyo imesababishwa na chama hicho kukosa ushawishi wa watu kuhudhuria mikutano yake bila kulazimishwa na hali imejionyesha pamoja na kutumia wasanii haijasaidia kitu.

Mgombea wa Urais kupitia Chadema Tundu Lissu aliingia Mwanza kwa kishindo kikubwa wiki iliyopita na kuvuta umati wa watu ambao wachunguzi wa mambo wanasema huenda ukawa umati mkubwa zaidi kutokea jijini Mwanza.

Wazazi kadhaa wamelaani hatua ya kutumiwa ujumbe mfupi na wakuu wa shule kadhaa wa maandishi unaowataka wasipeleke watoto shule kesho.

Wazazi hao wamesema hiyo ni kinyume na kanuni za Tume ya Uchaguzi na inaonekana waziwazi CCM imeamua kukanyaga sheria hizo.
 
Back
Top Bottom