Uchaguzi 2020 Mwanza: Shule zasitisha masomo, Wanafunzi waambiwa wakampokee na kumsikiliza Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli Uwanja wa CCM Kirumba

Mfanyakazi asipoenda watamfanya nini kwa mfano?

Ila kwenye hizi ajira kuna ujinga mwingi sana
 
Mwalimu ambae hato hudhuria atahesabika kama mtoro na atakatwa mshahara. Pia mwanafunzi ambae hato hudhuria atahesabika kama mtoro na kesho atapewa adhabu ya viboko.
Nimejikuta nawaza tu hivyo...
Hawa jamaa hawaachagi ushetani.... Wanaweza kufanya hivo
 
Yes ndio maana wanawaacha wanafunzi kuhudhuria kampeni badala ya kwenda shule ili kujaza uwanja. Tena wafanyakazi waeambiwa kufika bila kukosa.
Kweli kabisa.... Hii ilikua Magu jana👇👇
 

Attachments

  • 2509840_Screenshot_20200906-142422 (1).png
    237.1 KB · Views: 1
Thibitisha, mm ni MWALIMU hapa Mbugani S/msingi madarasa yanaendelea.Lakini hazuiliwi MTU kwnd kumsikiliza mkuu wa nchi mahali aliko Karibu.
OVER..
Hakuna darasa lolote linaendelea leo mkuu....
 
Kwa mfano hao wa kwako wamelazimishwaje wakati wako nyumbani hawajaenda shule?
 
Wasanii hawatoshi kuvutia watu mpaka walazimishe watumishi na wanafunzi ili kujaza uwanja!

Halafu utasikia,"asanteni sana kwa kujitokeza kwa wingi,sikutegemea mngejitokeza kwa wingi hivi!Nina deni kubwa kwenu"!
Pumbav,unajitekenya na kucheka mwenyewe!
 
Kwani na hao watoto wa shule ya msingi na hata baadhi ya wale wa sekondari(ambao hawajafikia umri wa kupiga kura), wataenda kupiga kura?


Au ndiyo matatizo ya akili ndogo kuongoza?
 
Jamaa wanalazimisha kukubalika
 
Huko ndiko kufilisika kimvuto mpaka inafikia kuanza kuwakusanya watu kinguvu. Wana hali mbaya.Japokuwa hayo yanafanywa na viongozi wa chini ili kumfurahishwa bwana yule kuwa wamefanya maandalizi mazuri.
 
Sio niulize Mwanza, mi naishi hapa hapa Mwanza......ukiangalia hili nyomi la leo kwenye mapokezi ni zaidi ya mara 3 ya ule upumbafu mliokuwa nao hapa juzi kati viwanja vya furahisha
ENDELEA KUCHEZA VIDUKU, HIZI HOJA NZITO TUACHIE
 
Wale wa kuimba mapambio waje hapa.
 
Sasa hivi sheria hamuna kuna shelia baba kayaii
 
Yaani huu upuuzi sijui utaisha lini. Nimeshangaa asubuhi hii, watoto wakiwa wanarudishwa majumbani.

Hata taarifa ya kuahirisha masomo imetolewa asubuhi ya leo.

Sababu kubwa ni kuwa walimu wote wamelazimishwa kuhudhuria mkutano wa kampeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…