Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kuna ubaya gani boda boda kuwa na mikataba yenye kulinda maslahi yao?ninyi mawakala wa Chadema ama muwe na vitambulisho vya machinga au TIN la sivyo mnawekwa korokoroni
View attachment 1817303
Mama ameyumba. Kama wanapigwa Serikali iwakopeshe. Hiyo ni biashara huru kabisa. Inazingatia negotiation power