Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Chadema ni [emoji117][emoji90] tu
Hapo vipi
Picha ya saa Saba mchana hiyo, angalia hapo juu live uone pamefurika.HATA MIMI NINAONA
Hahaha, ila Paskali!Mkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV.
I wish Chadema all the best, leo ni kweli macho na masikio ya Watanzania wote, hadi wale "jamaa zetu" ni viwanja vya Furahisha, huku wengi wakiwa very high expectations na ku anticipates kuwa Mbowe atakiwasha!, huku tunaojua ukweli tunajua hawezi kukiwasha kufuatia wema mkubwa Mama aliomtendea, licha ya kumfutia kesi na kumuachia huru, pia Mama amekuwa mwema zaidi kwa kum icapacitate kwa capacity building kuwazesha mambo yawe, ikiwemo funding some activities including vikao na trips ikiwemo overseas, hivyo haitegemewi shukrani ya punda, Mbowe ni muugwana na mtu wa shukrani hivyo leo Samia atashukuriwa.
P
Hii picha ya dakika chache zilizopitaPicha ya saa Saba mchana hiyo, angalia hapo juu live uone pamefurika.
Mbona hutaki kuangalia live, unasingizia huna bundle?Hii picha ya dakika chache zilizopita
Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nawashauri chadema waachane na siasa wawe chawa ma mama tu ...vita ya wahuni wa ccm watuachie sisi wenye kubeba legacy ya jpm na nyerere
Siyo kila mtu anataka kuona live wengine watataka kuona summary in picture kama hiiMbona hutaki kuangalia live, unasingizia huna bundle?
KAZI mnayo CCM.
Nina uhakika.. Waziri hawafiUnauhakika utafika hiyo tarehe uliyoitaja hapo? Je ukifa sasa!
Hapo vipi?Kinachoendelea mwanza ni aibu
Uwanja mweupe
Laana inawatafuna chadema
Aibu aibu
Unaleta picha za asubuhiKabisa. Mtajua hamjui
Hapo vipiTuliwaonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli