Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Walitakiwa waje wasikize hoja, Sa100 alisema siasa Si uadui😃😃
Una la kusema?
20230121_162517-jpg.2490218
 
Binafsi huwa siangalii wingi wa watu bali nguvu za hoja masikioni mwangu na utekelezaji field fursa inapopatikana...., lakini SADLY am seeing none from both sides of the aisle
Mnajifariji vizuri sana!
 

Hapo vipi?

Hakuna kitu video hiyo imechukuliwa kwa mbele karibu. Cheki hizi hapa utaelewa.




 
View attachment 2490200View attachment 2490201View attachment 2490202
View attachment 2490213
View attachment 2490215
CHADEMA Walijua watajaza uwanja lakini wafuasi wao wamewageuka hii inaonyesha kwamba wanachadema wamepoteza wafuasi wengi na inatabili kwamba 2025 chadema watakuwa na hali mbaya sana

Wanatia huruma aisee
Wafuasi wa chadwma wengi ni wanyonge, lakini cha ajabu viongozi wao walimpinga rais aliyetetea kundi hilo lenye idadi kubwa ya wafuasi wao.

Ukitaka kujua ukweli angalia wakati wa kampeni, ccm wana magari ya kifahari lakini cdm wanateambe zao kwa miguu huku wakiwa na matumaini ya kuwatawala wenye hayo mav8! 😀😀Wangejua ....
 
Tulioko Mwanza muda huu tutashuhudia kuchokwa na kufubaa kwa CHADEMA. Mkutano wao hauna watu wengi kama walivyodhani.

Yani hawajafanya mikutano baada ya miaka 7 halafu watu ndo wachache hivi? CHADEMA INAKUFA
WhatsApp Image 2023-01-21 at 04.48.19.jpeg
 
Back
Top Bottom