Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una la kusema?Walitakiwa waje wasikize hoja, Sa100 alisema siasa Si uadui😃😃
Sema "sina" sio "hatuna"Weka picha watu hatuna bando
Mnajifariji vizuri sana!Binafsi huwa siangalii wingi wa watu bali nguvu za hoja masikioni mwangu na utekelezaji field fursa inapopatikana...., lakini SADLY am seeing none from both sides of the aisle
Njoo live, acha kupost picha za mchana.Una la kusema?
![]()
Sasa kama wewe na Mbowe mnapokea pesa kutoka kwa mabeberu mtawezaje kutujari sisi watanzania?Sema "sina" sio "hatuna"
Mbowe ni Chadema na Chadema ni Mbowe!Waafrika mnavituko kwa hiyo hapo kwa mawazo yako unadhani anaye loose ni Mbowe au Chadema
Hapo vipi?
Wafuasi wa chadwma wengi ni wanyonge, lakini cha ajabu viongozi wao walimpinga rais aliyetetea kundi hilo lenye idadi kubwa ya wafuasi wao.View attachment 2490200View attachment 2490201View attachment 2490202
View attachment 2490213
View attachment 2490215
CHADEMA Walijua watajaza uwanja lakini wafuasi wao wamewageuka hii inaonyesha kwamba wanachadema wamepoteza wafuasi wengi na inatabili kwamba 2025 chadema watakuwa na hali mbaya sana
Wanatia huruma aisee
Lumumba lini mtakuwa na akiliView attachment 2490200View attachment 2490201View attachment 2490202
View attachment 2490213
View attachment 2490215
CHADEMA Walijua watajaza uwanja lakini wafuasi wao wamewageuka hii inaonyesha kwamba wanachadema wamepoteza wafuasi wengi na inatabili kwamba 2025 chadema watakuwa na hali mbaya sana
Wanatia huruma aisee
Sio sisi sema mimiSasa kama wewe na Mbowe mnapokea pesa kutoka kwa mabeberu mtawezaje kutujari sisi watanzania?
Sisi hatuna mzee.
Kama hujapiga picha na kuonesha jukwaa. Picha hiyo ni fakeCHADEMA Lidude likuubwa View attachment 2490257
Watanzania ni wajamaa hizo lugha za kibeberu hatuzitaki watanzania.Sio sisi sema mimi
Hii ndio Hari harisi.CHADEMA ni lidude likuubwaView attachment 2490256
Inatakiwa tukapige shoo ingine Chato ili tuwaonyeshe jinsi mlivyo waongoCHADEMA Lidude likuubwa View attachment 2490257