Acha kupotosha watu .nipo hapa kulia kwenye Hilo tent njia ya kwenda rock city mail. Uwo uwazi umejazwa na watu pote hapo pamejaa .Hii hapa yq sasa hivi
View attachment 2490230
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha watu .nipo hapa kulia kwenye Hilo tent njia ya kwenda rock city mail. Uwo uwazi umejazwa na watu pote hapo pamejaa .Hii hapa yq sasa hivi
View attachment 2490230
Vile umesema ni waziri hafi, ni sawa,Nina uhakika.. Waziri hawafi
Hapo vipi
Acha uongo. Angalia hapa chini wakipita mitaani kutafuta watu.....Duh!! Leo polisi watapata KAZI sana kuhakikisha watu wanarudi salama majumbani mwao sababu ya wingi wa watu.
Wakati huu MABULA wa Ilemela na Nyamagana hawajulikani walipo😃😃Acha uongo. Angalia hapa chini wakipita mitaani kutafuta watu.....
View attachment 2490245
View attachment 2490248
Hapo vipi?
Huna akili kwamba picha ikipigwa upande inaongeza watu?ujinga wako ni kipajiUnapiga upande wa kulia. Piga Vertical kama hii
![]()
Maandamano Yana Raha yake. Safi sana.Acha uongo. Angalia hapa chini wakipita mitaani kutafuta watu.....
View attachment 2490245
View attachment 2490248
Mbona uwanja upo tupu
Ila sindio ninyi mlo sema Chadema ina watu?Binafsi huwa siangalii wingi wa watu bali nguvu za hoja masikioni mwangu na utekelezaji field fursa inapopatikana...., lakini SADLY am seeing none from both sides of the aisle