Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23],bhebhe lekaga shi,uliho e furahisha?Mwanza Gete Gete Asanteni sana ni MTITI!!!!
UJUMBE WAMEUPATA.....
Chadema ni Chama Cha demokrasia na maendeleo ila hakina demokrasia na hayo maendeleoChadema ni kitu gani? Ni chama cha Siasa?
PoleBaaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Sema unakuwa chawa rasmi ....lkn umewahi kuwa mwana chadema??? Weka kadi yako hapa ya kidigital tuone .... Matanga mkubwa wwNdio nawatangazia Watanzania wajue Mzee wa bwaksi narudi CCM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1] mkuu hivi leo unamwelewa mwenyekiti mbowe kweli???
Mnataka siasa za vita?Mbowe kama hajalewa basi yupo kwenye mission yakuigawa Chadema. Alichokizungumza sio cha kuzungumza baada ya miss Saba ya kufungiwa mikutano
Wewe si uliona wengine wamemfananisha mlamba asali na Mandela au wewe ni mgeni umejiunga sasa hivi?ila humu jf inaonekana wazi mmeletwa wengi sana aisee! Dah
Lini mwana ccm akaelewa jambo kwa haraka haraka ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1] mkuu hivi leo unamwelewa mwenyekiti mbowe kweli???
Mimi naipinga Chadema lakini moderator wako fairKwa vile huu uzi umeonekana kupingana na chadema basi lazima utaunganishwa na nyuzi nyingine. Ila zile ambazo zinaonekana kuisifu chadema zote zimeachwa zijitegemee. Wewe soma fuatilia uone.
Hii ndio JF ya leo ambayo moderators wanaonesha upendeleo wa wazi wazi kabisa wakidhani kuwa sisi ni watoto wadogo hatuoni kinachoendelea.
Ila JPM alisema ni fisadi in fact alimuita Lissu msaliti sababu eti alikua anawasiliana na Mwanyika akimuomba nyaraka kadhaa!! Cha kushangaza yeye huyo huyo akamsafisha Mwanyika na kumpa ubunge huku LISSU ndio akimiminiwa risasi na kuitwa msaliti!! Hii nchi aliyetulaani sijui naniMwanyika ni jembe lile. Mwanyika ana akili sana sijawahi kuona
Niweke taarifa zangu binafsi ili iweje? Kwa taarifa yako tu nikuwa Mimi nimekuwa zaidi ya Mwanachama wa cdm Kwa miaka 17, Nimeisapoti cdm kuanzia fedha, kutenga muda wangu mwingi Kwa shughuli mbalimbali za chama ila Kwa nilichokisikia kutoka Kwa mwenyekiti mbowe rasmi nahamia ccmSema unakuwa chawa rasmi ....lkn umewahi kuwa mwana chadema??? Weka kadi yako hapa ya kidigital tuone .... Matanga mkubwa ww
Umeumia sana huo ni MTITIBaaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Hujawahi kuwa mwana ccm wewe acha unaaNiweke taarifa zangu binafsi ili iweje? Kwa taarifa yako tu nikuwa Mimi nimekuwa zaidi ya Mwanachama wa cdm Kwa miaka 17, Nimeisapoti cdm kuanzia fedha, kutenga muda wangu mwingi Kwa shughuli mbalimbali za chama ila Kwa nilichokisikia kutoka Kwa mwenyekiti mbowe rasmi nahamia ccm
Mtiti umemkera [emoji23][emoji23]Umeumia sana huo ni MTITI
Yaani zile shamrashamra zote zimepotezwa na hotuba ya mwenyekitiUmeumia sana huo ni MTITI
Sawa, unataka tukusindikize kwa matarumbeta na vigodoro?Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.