Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
🦏 Johnfreeman mbowe tuliemzoea sio huyu wa leo nadhani kuna kitu hakipo sawa au uzee ama kalewa nyagi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🦏 Johnfreeman mbowe tuliemzoea sio huyu wa leo nadhani kuna kitu hakipo sawa au uzee ama kalewa nyagi
Kumtukana Magufuli umewatukana wasukuma. Utaelewa tu maana yake we tulia hapo.Kama kamtukana yule nduli ni sawa, ila kama kawatukana watu wa kanda ya ziwa hilo ni tatizo. Usichanganye vitu, Jiwe na watu wa kanda ya ziwa ni vitu viwili tofauti
Siringii uhai na najua siku ikifika nitakufa ila yeye aliyekufa huku ameachia watu majonzi ya kila aina ya mauaji,watu kutekwa ndugu zao,kuuliwa na kutupwa baharini kwenye viroba, watu kutekwa yote ni laana itamtafuna.Wewe uliye hai unaringia uhai ambao haupo mikononi mwako. Vijana wa CHADEMA hamna adabu kabisa.
Unapata nguvu wapi ya kumtukana mtu ambaye hayupo duniani? Bangi zinawapeleka kubaya.Siringii uhai na najua siku ikifika nitakufa ila yeye aliyekufa huku ameachia watu majonzi ya kila aina ya mauaji,watu kutekwa ndugu zao,kuuliwa na kutupwa baharini kwenye viroba, watu kutekwa yote ni laana itamtafuna.
Swali kuna siku alikemea au kutaka kufanywe uchunguzi wowote na wahusika wachukuliwe hatua kwa vitendo viovu?
Waliokuwa hawana ni nyinyi mliokuwa mkibariki matukio hayo yawepo.
Hujitambui wewe, mimi mwenyewe msukuma lakini siwezi kuwa chawa au mjinga anayefurahia mateso ya watz wengine kama nyie. Wasukuma ni watu wasioendekeza ukabila wa kijinga kama nyie sukuma gang wa burundiWasukuma wote wana umoja. Unawajua wasukuma unawasikia?
Kamuulize LowassaHujitambui wewe, mimi mwenyewe msukuma lakini siwezi kuwa chawa au mjinga anayefurahia mateso ya watz wengine kama nyie. Wasukuma ni watu wasioendekeza ukabila wa kijinga kama nyie sukuma gang wa burundi
Utajua hujuiUnawashwa sio bure, tuliza kijambio
Ukifanya wema utasemwa kwa wema wako na ukifanya maovu utasemwa kwa maovu yako.Unapata nguvu wapi ya kumtukana mtu ambaye hayupo duniani? Bangi zinawapeleka kubaya.
Kunajambo jema lolote umefanya. Au bangi za arusha zinakufanya uweweseke.Ukifanya wema utasemwa kwa wema wako na ukifanya maovu utasemwa kwa maovu yako.
Hapo ndio furahisha?
Kweli nyie akili hamna
Narejea tena.Kunajambo jema lolote umefanya. Au bangi za arusha zinakufanya uweweseke.
Jema nafanya sana namshukuru Mungu.Kunajambo jema lolote umefanya. Au bangi za arusha zinakufanya uweweseke.
Watakwambia ni picha za asubuhii, nawakati ata Mimi Niko apa mkutanonii
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli hiyo
Umejitahidi kuipiga picha kiufundi sana.
CHADEMA ilishauliwa na Magufuli.
Umekula bangi chooni wewe siyo bure. Unajihesabia mema mwenyewe siyo?Jema nafanya sana namshukuru Mungu.
Kwakweli hapo siyo furahisha najaribu kuangalia rockcity moil siioni, najaribu kuangalia barabara ya kwenda kirumba siioni.