Habari mbaya sana hii kwa kina Countrywide, na wenzao - michawa ya mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari mbaya sana hii kwa kina Countrywide, na wenzao - michawa ya mama
Hawajui hata edit
Ni hivi kuhusu mambo ya bangi hayo ni mawazo yako.Umekula bangi chooni wewe siyo bure. Unajihebia mema mwenyewe siyo?
Acha bangi mdogo wangu. Njoo kwenye real life
Mbangi zikikutoka kichwani uje tujadiliane. Sasa hivi bangi zinaongea kichwani mwako. Tunawajua nyie vijana mkizipiga hizo bangi zenu chooni hamuambiliki na kuanza kutukana marehemu.Ni hivi kuhusu mambo ya bangi hayo ni mawazo yako.
Umeuliza nimekujibu.
"Unajihebia" ni kwashili cha mtu aliyeelimika?
Sijajihesabia mema mwenyewe.
Kwahiyo wewe hufanyi mema??
Ukifanya mema au mabaya utalipwa.
Nijibu niliyokuuliza.Mbangi zikikutoka kichwani uje tujadiliane. Sasa hivi bangi zinaongea kichwani mwako. Tunawajua nyie vijana mkizipiga hizo bangi zenu chooni hamuambiliki na kuanza kutukana marehemu.
Nijibu haya machache ambayo hata mtoto wa chekechea anaweza.Ni hivi kuhusu mambo ya bangi hayo ni mawazo yako.
Umeuliza nimekujibu.
"Unajihebia" ni kwashili cha mtu aliyeelimika?
Sijajihesabia mema mwenyewe.
Kwahiyo wewe hufanyi mema??
Ukifanya mema au mabaya utalipwa.
Mbona hakukuua wewe na bado tunaleta mwingine akuchinje kabisa! Mwendazake anachukiwa na wezi, mafisadi, wauza madawa ya kulevya, wenye vyeti fake waliofukuwa kazini. Sasa wewe utakuwa miongoni mwao hao. Lakini Watz waliowengi wapenda maendeleo wanampenda sana tu Mwendazake.Mimi Sina shida na CCM kutawala miaka 100, Tena Mimi mfuasi mzuri Sana wa Rais Samia na CCM ya Sasa
CCM niliwachukia baada ya kumuweka yule kichaa muuaji madarakani, natuamani hawatarudia Tena kosa
Wamewaonyesha eeh!!?Mwanza Gete Gete Asanteni sana ni MTITI!!!!
UJUMBE WAMEUPATA.....
Nimesema kuwa subiri kwanza bangi ziishe kichwani nitakupatia muda wa kujadiliana. Kwa sasa hauko sana. Je, umevuta asubuhi au mchana?Nijibu niliyokuuliza.
Toka ulipoanza kunikot nihoja gani uliyoileta ijadiliwe au nikujipa umuhimu wa kujiona mjuaji.
Kama umvuta bangi ni wewe sikila anaetofautiana mawazo na nyinyi ni mvuta bangi.
Kama huna chá kuongea unyamaze tu ndio suluhisho.
Umeumia sana huo ni MTITI kachuwe na barafu!!!!Mbangi zikikutoka kichwani uje tujadiliane. Sasa hivi bangi zinaongea kichwani mwako. Tunawajua nyie vijana mkizipiga hizo bangi zenu chooni hamuambiliki na kuanza kutukana marehemu.
Nakusihi pumzika. Haupo sawa kichwani. Yaani ulipoanza kumtukana marehemu tu, niligundua bangi zimejaa kwenye kichwa chako. Hakuna mtu wa kawaida anaweza fanya hivyo.Nijibu haya machache ambayo hata mtoto wa chekechea anaweza.
Karibu mkuu achana naoBaaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Nenda ... Unasubiri Nini ??Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Chadema ni kitu gani? Ni chama cha Siasa?Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Ndio nawatangazia Watanzania wajue Mzee wa bwaksi narudi CCM