Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Sijui kwa nini baada ya kumtoa Shaka hawajakuweka wewe bali wakamuweka Mjema, unajua sana propaganda based on UONGO.
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
 
Vyema tujue agenda zao zitakuwa zipi..

Ukiondoa hali ya ugumu wa maisha inayoambatana na bidhaa hasa nafaka kupanda bei kila siku, Katiba Mpya inatakiwa kuwa ajenda ya kudumu.

Ni vyema hilo dai wakaliwekea time limit, ili kuzuia uwezekano wa kwenda kwenye uchaguzi wa S/M 2024 tukiwa na Katiba iliyopo, kama hawatafanikisha hilo, wajiandae kupigwa kwenye uchaguzi mkuu 2025 endapo watashiriki.

Tusubiri tuwasikie, lakini sana sana wataongea mambo yaliyopo kama Katiba Mpya, Tozo, Mfumuko wa bei, Deni la Taifa na hali ya maisha kwa ujumla...
 
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P

Mkuu pascal mbona uliutaka Ubunge kupitisha CCM ? Kuna mbunge ama mwana CCM aliye independent? Sema tu your are a little bit smarter than most maCCM ! Na kwamba fani yako ya uandishi na news anchorage in the past inakubeba ! Unataka kutuambia mama Samia akikutupia ndoano kukuvuta kakitengo fulani chamani au serikali utatema ndoano ? Aaaaaa !
 
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Bahati nzuri na mimi naweza kusema ni mhenga hapa JF. Tangu nijiunge 2012 nikisoma nyuzi zako zilikuwa za ki great thinker. Tangu utangaze nia nyuzi zako zimekuwa za kawaida sana, unafiki mwingi wa kujifanya mzalendo, umekuwa chawa indirect.
Mama akukumbuke kwenye mikeka ijayo ili roho yako itulie. Bila wewe kupata ulaji serikalini utaendelea na huu unafiki wako.
 
Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumamosi tarehe 21 Januari hapa Jijini Mwanza.

Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa hapa Jijini Mwanza kutakakofanyika shughuli kubwa ya kisiasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Chadema Leo inazindua Rasmi mikutano ya kisiasa baada ya kuzuiwa kwa miaka saba kinyume kabisa na Katiba kwa tamko la aliyekuwa Rais wa Tanzania John Magufuli.

Rais wa Sasa Samia Suluhu Hassan aliamua kuondoa zuio hilo haramu kutokana na Maridhiano ya Kitaifa yaliyoasisiwa na yeye Rais pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Freeman Mbowe atafanya uzinduzi huo wa mikutano kitaifa hapa Jijini Mwanza katika viwanja vya Furahisha.

Pia katika tukio jingine Chadema leo inaadhimisha miaka 30 tangu kusajiliwa kwake mnamo mwaka 1993

Kwa muda wa wiki nzima habari kubwa katika jiji la Mwanza na viunga vyake ni kuhusu Mkutano huu ambao unatarajiwa kuvutia maelfu kwa maelfu ya wananchi wa jiji hili na mikoa jirani.

Molemo Media tunatarajia kuwaletea mubashara matukio yote muhimu yatakayoendelea hapa Jijini Mwanza kabla na wakati wa Mkutano huo mkubwa wa hadhara.

Karibuni Sana!
We Molemo usituletee mambo ya kitoto kama uliyokua ukifanya huko nyuma! Unakimbilia kuanzisha sridi halafu unakula kona hutoi update yoyote acha kiherehere.
 
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P

Mkuu pascal mbona sasa uliutaka ubunge kupitia CCM ? Kuna mbunge wa CCM ambaye ni “independent man” kuna msaka ubunge wa CCM asiye propagandist? Tena muongo ? Sema tu you are a little bit smarter than your fellow maCCM because of your journalism profession and wide coverage of interviews you have had conducted with a lot of people across disciplines!
 
Mtoto wa nyoka ni ........... 1 Km from Kigoto, 5 Km from Kapripoint
Inborn nature.
Duh...!. Umenikumbusha mbali!, yaliyotokea Kigoto ile 1976, usiyakumbushe, nahisi kama hell itasubiri!.
Ila sio lazima kila mwana wa nyoka akawa nyoka, baadhi ya wana nyoka wengine sio nyoka ni mijusi tuu!.
P
 
Jamani, na mimi nipo hapa Mwanza, japo kutokana na majukumj, nahisi sitahudhuria mpaka mwisho wa mkutano maana ni lazima nisafiri. Hata hivyo, dakika 15 zijazo nitaelekea viwanja vya Furahisha kuona maandalizi yanavyokwenda.

Huu ni zaidi ya mkutano. Ni mwanzo mpya, ni ujumbe tosha kuwa tulipotoka, sasa tuna dhamira ya kwenda kwenye ustaarabu wa kuheshimu katiba, kulinda uhuru wa maoni na haki za watu. Hamasa haitokani tu na ujumbe utakaotolewa na viongozi wa CHADEMA bali ni kuwaambia watawala kuwa sisi wananchi tunawataka watawala waheshimu katiba na sheria.
 
Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumamosi tarehe 21 Januari hapa Jijini Mwanza.

Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa hapa Jijini Mwanza kutakakofanyika shughuli kubwa ya kisiasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.

Chadema Leo inazindua Rasmi mikutano ya kisiasa baada ya kuzuiwa kwa miaka saba kinyume kabisa na Katiba kwa tamko la aliyekuwa Rais wa Tanzania John Magufuli.

Rais wa Sasa Samia Suluhu Hassan aliamua kuondoa zuio hilo haramu kutokana na Maridhiano ya Kitaifa yaliyoasisiwa na yeye Rais pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.

Freeman Mbowe atafanya uzinduzi huo wa mikutano kitaifa hapa Jijini Mwanza katika viwanja vya Furahisha.

Pia katika tukio jingine Chadema leo inaadhimisha miaka 30 tangu kusajiliwa kwake mnamo mwaka 1993

Kwa muda wa wiki nzima habari kubwa katika jiji la Mwanza na viunga vyake ni kuhusu Mkutano huu ambao unatarajiwa kuvutia maelfu kwa maelfu ya wananchi wa jiji hili na mikoa jirani.

Molemo Media tunatarajia kuwaletea mubashara matukio yote muhimu yatakayoendelea hapa Jijini Mwanza kabla na wakati wa Mkutano huo mkubwa wa hadhara.

Karibuni Sana!
Taifa lipi analohutubia?
 
Mkuu pascal mbona sasa uliutaka ubunge kupitia CCM ? Kuna mbunge wa CCM ambaye ni “independent man” kuna msaka ubunge wa CCM asiye propagandist? Tena muongo ? Sema tu you are a little bit smarter than your fellow maCCM because of your journalism profession and wide coverage of interviews you have had conducted with a lot of people across disciplines!
Mkuu Kipenda roho, kiukweli kabisa kuna baadhi ya Watanzania wanaoumizwa genuinely na mambo ya hovyo ya serikali yetu Bunge letu na Mahakama zetu!. Hivyo niligombea very genuinely kutaka kusaidia na hili nililiweka wazi kabisa kwanini nataka kwenda Bungeni na kwenda kufanya nini

Very unfortunately ndani ya CCM kuna watu wazuri wachache na vilaza majuha kibao!. Ili upite CCM lazima ufanye mambo fulani!, mimi ni mkweli toka ndani ya nafsi yangu, nikashikilia msimamo wangu sifanyi jambo lolote kinyume na Dhamira yangu ili kununua uongozi!, sikunyoosha mkono kumuona mjumbe yeyote!, na matokeo ni mkono mtupu haulambwi!. Nilivuna nilichopanda, nikaambulia kura 1!, tena nahisi kura hiyo itakuwa ni kura ya Mwanamke, atakuwa kavuta mpunga wa wenye mikono mirefu, halafu kura akanigawia mimi!, usikute ni mmoja wa wale wadada wa kwenye mambo yetu yale...!.
P
 
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P

Pascal, kuna siku nitakueleza ana kwa ana mimi ndio yule Chakaza tunayepatana na kupingana JF na utaishia kucheka huku tukigonga vitu.

Ulikuwa independent hapo awali lakini zipo sababu ambazo tunazijua (hatukulaumu kama ambavyo hatulaumu wengine) zimekuondoa kwenye sifa hiyo na sasa umekuwa msemaji indirectly.

Ila kwenye ile hoja ya msaada kwa Mbowe umesema uongo maana haikuwa hivyo kama ulivyoleta hapa. Jaribu kutunza credibility yake.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Duh...!. Umenikumbusha mbali!, yaliyotokea Kigoto ile 1976, usiyakumbushe, nahisi kama hell itasubiri!.
Ila sio lazima kila mwana wa nyoka akawa nyoka, baadhi ya wana nyoka wengine sio nyoka ni mijusi tuu!.
P
Huko wanakusingizia tuu haupo! Wewe ni mhanga tuu wa mapigo ya kikatili na kidikteta ya awamu ya tano.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom