Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mataga mjichanganye muone
20230121_111143.jpg
 
Mtaji wao wa kisiasa wanaona kuwa upo Kanda ya ziwa tu. Hawa wameshapewa hela ili suala la katiba mpya lisogezwe mbele mpaka miaka Tisa. Jamaa wanatafuta ulaji na wanaona labda wasukuma ndio jamii kubwa ambao hawajasoma so ni rahisi ama Ni cheap kuwakamata
 
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Kweli kabisa !!
 
Mtaji wao wa kisiasa wanaona kuwa upo Kanda ya ziwa tu. Hawa wameshapewa hela ili suala la katiba mpya lisogezwe mbele mpaka miaka Tisa. Jamaa wanatafuta ulaji na wanaona labda wasukuma ndio jamii kubwa ambao hawajasoma so ni rahisi ama Ni cheap kuwakamata
Tusubiri tuone !! Ni mapema mno kubashiri !!
 
Molemo Media tunakufuatilieni mwanzo mwisho , asanteni sana
 
Back
Top Bottom