Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mzee umelewa au upo timamu?Alituambia nini, hebu mtag kwenye hili post yako kisha aone umenitag mimi uone kama atasogea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee umelewa au upo timamu?Alituambia nini, hebu mtag kwenye hili post yako kisha aone umenitag mimi uone kama atasogea.
Tuliwaambieni nyinyi sema hamsikiiMbowe hatakiwi tena kupewa nafasi ya kuongea majukwaani, aachwe aende ikulu akapewe kipaza sauti amsifie mama Samia. Muda wa yeye kuendelea kuwa mwenyekiti CDM umepita. Hizo siasa za kumpamba rais ziko huko CCM.
Ulituambia lini, mimi na nani?Tuliwaambieni nyinyi sema hamsikii
Mzee umelewa au upo timamu?
Mimi sikujua kama kweli Mbowe amelewa ndio akapanda jukwani!Watu smart wanapatikana chadema hata kama wapo wachache.
Mkutano wa leo 21/01/2022 umeonesha usmart wa kisiasa sana na jinsi ya kuendesha mkutano....
Msemo wangu: ukiona unasemwa sana ujue umemzidi mambo mengi sema anashindwa kujitofautisha.
Mbowe katitia aibu sanaAnalysis ya kina Imefanyika kuanzia Body language na hata utamshi wa maneno inaonekana mwenyekiti alikuwa hayupo sawa TIZAMA VIDEO HII
TindoSina huo mda, maana ananijua, ndio maana nakuambia mtag aone umenitag uone kama atasogea.
Mimi sikujua kama kweli Mbowe amelewa ndio akapanda jukwani!
Aisee mpaka nilipoona clips zake huko twitter [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe kwisha habari! Imagine mtu kama Hilda Newton hajaposti kipande hata kimoja cha hotuba ya mbowe! Yani ni aibu tupu.
Mimi sikujua kama kweli Mbowe amelewa ndio akapanda jukwani!
Aisee mpaka nilipoona clips zake huko twitter [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe kwisha habari! Imagine mtu kama Hilda Newton hajaposti kipande hata kimoja cha hotuba ya mbowe! Yani ni aibu tupu.
Una macho makali Sana mzee....tunaojua ukweli tunajua hawezi kukiwasha kufuatia wema mkubwa Mama aliomtendea, licha ya kumfutia kesi na kumuachia huru, pia Mama amekuwa mwema zaidi kwa kum icapacitate kwa capacity building kuwazesha mambo yawe, ikiwemo funding some activities including vikao na trips ikiwemo overseas, hivyo haitegemewi shukrani ya punda, Mbowe ni muugwana na mtu wa shukrani hivyo leo Samia atashukuriwa.
Mimi sikujua kama kweli Mbowe amelewa ndio akapanda jukwani!
Aisee mpaka nilipoona clips zake huko twitter [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbowe kwisha habari! Imagine mtu kama Hilda Newton hajaposti kipande hata kimoja cha hotuba ya mbowe! Yani ni aibu tupu.
Muache alipe fadhila.Mbowe hatakiwi tena kupewa nafasi ya kuongea majukwaani, aachwe aende ikulu akapewe kipaza sauti amsifie mama Samia. Muda wa yeye kuendelea kuwa mwenyekiti CDM umepita. Hizo siasa za kumpamba rais ziko huko CCM.
Tukisema chadema ni [emoji117][emoji90][emoji90]mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mfuasi wa mbowe au lissuAnalysis ya kina Imefanyika kuanzia Body language na hata utamshi wa maneno inaonekana mwenyekiti alikuwa hayupo sawa TIZAMA VIDEO HII