Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Chadema wamehalalisha watawala kuamua hatma ya namna ya kufanya siasa nchi hii kuwa hisani. Kwamba Mbowe anasema kuongea na CCM ni kama kutongoza demu! Seriously? Dah!

Nimeona sehemu hata mzee Mtei alimshtua anapitiliza! Seems chairman kuna mtu kashika remote ya kichwa chake.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sisi washauri huru tuliwashauri siku nyingi, angalia ushauri wangu huu wa 2010 https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imechokwa-chadema-haijajipanga.87532/ humo nilisema
Wanabodi,

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja yenye impact ikiwemo kuyashika majiji makubwa katika mikoa the big five!, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala, ili kikabidhiwe nchi, kitawale, Chadema bado kimekaa kichama harakati, hivyo kuna wengi wanakiona kama bado hakijakomaa kiasi cha kukabidhiwa ikulu yetu!.

Kwa upande wa Chadema, lazima kibadilike, first and foremost, anzeni na Mwenyekiti wenu Freeman Mbowe, he should go!. Ajiuzulu uenyekiti, ampishe more able person kama Dr. Slaa kwenye usukani wa chama, Katibu Mkuu mpeni Zitto strategically, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, na kulivua lile koti la ukanda na ukabila ili walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura 2015 kwa kujionyesha Chadema ni chama cha wote, dini zote na kanda zote.

Kupumzishwa kwa Freeman Mbowe sio kuwa hafai no, anafaa sana lakini kwa background yake na nature ya kazi zake, as a businessman, hapo alipoifikisha Chadema amaishafanya kazi kubwa na kufikia mwisho wa uwezo wake. Kwa background yake ya a former DJ na sasa ni mfanyabiashara, focus ya wafanyabiashara kote dunia nzima ni maximisation of profits, hivyo Mbowe atahitaji ruzuku ya Chadema itumike kuivest kwenye assets, kwenye vitu vya kuonekanika yaani assets kama magari, mavazi, etc

Ili Chadema kiweze kushika nchi 2015, it has to invest on people na sio ku invest kwenye vitu. Chadema must invest kwenye mass mobilisation na sio kutegemea mikutano ya hadhara na maandamano. Chadema needs to have able people kuiwezesha kushika dola five years to come kwa kutumia reaching out mechanism kuwafikia the mases kwa kumiliki media yake yenyewe. Chadema lazima ifanye recruitment ya loyal able people, watakaokuja kuendesha serikali ya Chadema. Mbowe hawezi kukubali ruzuku ya Chadema itumike to invest on people, kwasabu it's a loss making venture kwa mfanyabiashara na kuivest kwenye mass media sio profitable investment kwa business man ambaye ni in for profits making!. Dr.Slaa na Zitto sio wafanyabiashara hawa ni ma technocrats. Chama kishikwe na wanasiasa watendaji ma technocrats na sio wanasiasa wafanyabiashara!. Chadema iwekeze kwenye watu na kupanua mtandao wake hadi vijijini, ili kwenda kuiongoa CCM kuanzia kule chini kabisa kwenye mizizi yake ambako ni kule kwenye mashina. Chadema imiliki media yake yenyeshe for mass mobilization na sio kutegemea mikutano na maandamano, huko ni kuendeleza uanaharakati, Chadema inatakiwa kukaa mkao wa kutawala, ikitangaza kitu, kinafika Tanzania nzima!.
Paskali
leo ni 13 years baada ya ushauri huu, Chadema bado inategemea mikutano ya hadhara!, haina media yake!. Haipo kwenye grassroots, halafu watu wanawaza kuingia Ikulu 2025!.
Hili la urais wa 2025, nimeisha washauri!. https://www.jamiiforums.com/threads...weli-iachane-na-2025-lengo-liwe-2030.2057813/
p
 
Chadema wamehalalisha watawala kuamua hatma ya namna ya kufanya siasa nchi hii kuwa hisani. Kwamba Mbowe anasema kuongea na CCM ni kama kutongoza demu! Seriously? Dah!

Nimeona sehemu hata mzee Mtei alimshtua anapitiliza! Seems chairman kuna mtu kashika remote ya kichwa chake.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Upinzani (hasa Cdm) kwa sasa wanategemea hisani ya Ccm ili kufanya siasa, alafu bado tunaamini kuna upinzani hapa nchini ?... Mzaha huu...

Hakuna haki za kikatiba tena, demokrasia yetu ya kiini macho hatimaye imetekwa hadharani...

JokaKuu Pascal Mayalla Kiranga denooJ
 
Safi sana,habar zifike kuzimu kwa yule mjinga aliyesema kuwa ataiua Chadema!
 
Hoja ya kuandaa mrithi wa Mbowe ni hoja muhimu!, ila wakati sio ndio huu!, this is long overdue!. Thanks God ndani ya Chadema, kuna able man mmoja tuu!, the one and only, Heche!.
P
Hiki kinachoendelea kitatusaidia kupata uelekeo mpya wa siasa za upinzani. Mbowe amefanya kazi kubwa sana lakini kila jambo lina ukomo wake. Amuachie chama Lissu ajipange na safu yake mpya.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru kwa bandiko lako lenye wingi wa busara, ni hivi, naheshimu mchango wa Mbowe kwa ujenzi wa CDM na demokrasia kwa ujumla wake. Ila nitakuwa najidanganya mwenyewe kusema hadi sasa Mbowe anasimamia tunachokiamini.l wafuasi wengi wa CDM. Ni bora tusifanye siasa kabisa tutapata ufumbuzi mwingine, sio huo wa maridhiano ya Mbowe.

Maridhiano na CCM ni utapeli wa mchana kweupe. Na mfano halisi upo huko Zanzibar. Maalim Seif alikiingiza chama chake kwenye muafaka fake, alichofanyiwa uchaguzi wa 2015 kila mtu aliona. Na uchaguzi wa 2020 akapigwa katafunua. Mikutano iko kihalali na sio hisani. Kiongozi mlevi wa madaraka tu ndio anaweza kuvunja sheria. Kuumizwa na kufanyiwa vitimbi na dola, sio sababu ya kukaa kwenye maridhiano ya kuwapamba CCM.
Umeongea vema kwa muono huo wa kwako. Lakini tunaweza kujiuliza swali kubwa zaidi ili tuwezw kupata picha kubwa zaidi ya tofauti katika mitizamo yetu.

● Je matarajio mengi kama unavyosema ya wanachadema yalikuwa yapi?...je matamanio hayo kwa nini wanachadema humkuyatekeleza ndani ya miaka saba namnadhani Leo mnaweza kuyatekeleza baada ya juhudi za mwenyekiti kuweka mazingira na kufanikiwa kuweka uwanja wa ninyi kufanya yale mtakayopenda kuyafanya?

● Nini kimefanyika wakati hakuna maridhiano ndani ya miaka saba ya kiza kwa siasa za majukwaani?

● Hawa watanzanio unaowasemea kwamba hawataki Maridhiano wanataka njia gani ambayo waliweza kuifanya wakati wa awamu iliyopita na hii iliyopo?

● Mariadhiano si utapeli. Ni uungwana wa watu waliostaarabika kuamua kuchagua njia ya kiuungwana kupambana. Kuyafananisha Maridhiano ya Seif kule Zanzibar na CCM na maridhiano haya yaliyotupa uhuru wa mikutano ni kuikosea fursa iliyopo katika kukuza chama.

● Kwamba ni bora kutokuwa na maridhiano?...fine yasiwepo. Je tumefaidika nini na tmepoteza nini wakati wa nje ya makubaliano?


Nadhani CHADEMA mngetulia kidogo. Mjipange namna ya kuenenda ili kuongeza wanachama na kushinda chaguzi zijazo. Hii ya kuona Mwenyekiti wenu hana nia njema na Chama ambacho amekijua na kukijenga toka ujana mpaka uzee wake huu haitawasaidia.

Mpeni nafasi kama ambavyo mlimpa nafasi ya kuendelea na mazungumzo ya maridhiano na mwisho mkapata mlichopata. Kama kunamapungufu na hofu zenu juu ya mwenendo wake (kama ambavyo amekiri kwamba mna haki na mko sawa kabisa kufikiria namna mnavyofikiri) myamalize ndani ya chama.

Na wanachama muwe na akiba ya maneno. Mwanasiasa mzuri ni yule anayebakiza maneno yake. Hayasemi yote. Mdude Chadema alikuwa anapibga wazi wazi juu ya mazungumzo ya Mwenyekiti wenu na CCM ila Leo ndio wa kwanza kujjaribu suti ambazo anaamini atazivaa baada ya kushinda ubunge katika mazingira aliyoyatengeneza Mbowe kwenye Mazungumzo na Mh. Rais!

Vumilianeni Kiongozi. Ila kuweni makini kwa kuhoji kupitia vikao vya chama. Mtatutikisa kidogo CCM ila tutawashinda si kwa sababu ya Mbowe kwamba kachoka, ni kwa sababu CCM tunanarithishana itikadi kwa wazazi kwa watoto ha ha ha ha
 
Tuna
Upinzani (hasa Cdm) kwa sasa wanategemea hisani ya Ccm ili kufanya siasa, alafu bado tunaamini kuna upinzani hapa nchini ?... Mzaha huu...

Hakuna haki za kikatiba tena, demokrasia yetu ya kiini macho hatimaye imetekwa hadharani...

JokaKuu Pascal Mayalla Kiranga denooJ
Walaumu CHADEMA sisi wananchi tunanafasi ipi ya kufanya yafanyike?.

CHADEMA walidai haki hizo za kikatiba, wakaitisha maandamano ambayo ni haki ya kikatiba, wananchi hamkutokea wala kuunga mkono!

Leo mnakuja hapa na kuuponda upinzani?....mlitaka wafanye nini?

Umesahau kuwa nguvu za mamlaka za kuongoza nchi ni za wananchi?
 
Mkianza hoja za nani awe nani ndani ya chama na si chama kifanye nini na nini ili kushika dola mtakiua chama!

Huu si wakati wake. Hata sisi CCM ambao tuna dolea na serikali hatuwazi kwa namna hii ya hovyo!
Hoja ya kuandaa mrithi wa Mbowe ni hoja muhimu!, ila wakati sio ndio huu!, this is long overdue!. Thanks God ndani ya Chadema, kuna able man mmoja tuu!, the one and only, Heche!.
P
 
Mkianza hoja za nani awe nani ndani ya chama na si chama kifanye nini na nini ili kushika dola mtakiua chama!

Huu si wakati wake. Hata sisi CCM ambao tuna dolea na serikali hatuwazi kwa namna hii ya hovyo!

Mkuu imebidi nicheke, kuwa hata nyie CCM hamuwazi hivyo, kwani nani anawaiga nyie CCM? Yaani hakuna chama nakidharau kama hicho, kiasi huwa nashangaa eti kuna watu wanasema wanajifunza kupitia CCM!
 
Umeongea vema kwa muono huo wa kwako. Lakini tunaweza kujiuliza swali kubwa zaidi ili tuwezw kupata picha kubwa zaidi ya tofauti katika mitizamo yetu.

● Je matarajio mengi kama unavyosema ya wanachadema yalikuwa yapi?...je matamanio hayo kwa nini wanachadema humkuyatekeleza ndani ya miaka saba namnadhani Leo mnaweza kuyatekeleza baada ya juhudi za mwenyekiti kuweka mazingira na kufanikiwa kuweka uwanja wa ninyi kufanya yale mtakayopenda kuyafanya?

● Nini kimefanyika wakati hakuna maridhiano ndani ya miaka saba ya kiza kwa siasa za majukwaani?

● Hawa watanzanio unaowasemea kwamba hawataki Maridhiano wanataka njia gani ambayo waliweza kuifanya wakati wa awamu iliyopita na hii iliyopo?

● Mariadhiano si utapeli. Ni uungwana wa watu waliostaarabika kuamua kuchagua njia ya kiuungwana kupambana. Kuyafananisha Maridhiano ya Seif kule Zanzibar na CCM na maridhiano haya yaliyotupa uhuru wa mikutano ni kuikosea fursa iliyopo katika kukuza chama.

● Kwamba ni bora kutokuwa na maridhiano?...fine yasiwepo. Je tumefaidika nini na tmepoteza nini wakati wa nje ya makubaliano?


Nadhani CHADEMA mngetulia kidogo. Mjipange namna ya kuenenda ili kuongeza wanachama na kushinda chaguzi zijazo. Hii ya kuona Mwenyekiti wenu hana nia njema na Chama ambacho amekijua na kukijenga toka ujana mpaka uzee wake huu haitawasaidia.

Mpeni nafasi kama ambavyo mlimpa nafasi ya kuendelea na mazungumzo ya maridhiano na mwisho mkapata mlichopata. Kama kunamapungufu na hofu zenu juu ya mwenendo wake (kama ambavyo amekiri kwamba mna haki na mko sawa kabisa kufikiria namna mnavyofikiri) myamalize ndani ya chama.

Na wanachama muwe na akiba ya maneno. Mwanasiasa mzuri ni yule anayebakiza maneno yake. Hayasemi yote. Mdude Chadema alikuwa anapibga wazi wazi juu ya mazungumzo ya Mwenyekiti wenu na CCM ila Leo ndio wa kwanza kujjaribu suti ambazo anaamini atazivaa baada ya kushinda ubunge katika mazingira aliyoyatengeneza Mbowe kwenye Mazungumzo na Mh. Rais!

Vumilianeni Kiongozi. Ila kuweni makini kwa kuhoji kupitia vikao vya chama. Mtatutikisa kidogo CCM ila tutawashinda si kwa sababu ya Mbowe kwamba kachoka, ni kwa sababu CCM tunanarithishana itikadi kwa wazazi kwa watoto ha ha ha ha

Sipingi usemacho Boss. Ila narudia tena, hayo maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine. Ni bora kutokufanya Siasa kuliko kufanya siasa kwa uratibu wa CCM.

Na kuhusu CCM kushinda uchaguzi sio kwasababu mna uwezo wa kushinda, bali mfumo uliopo na katiba hii ndio inawapa nafasi hiyo. inshort hakuna uchaguzi hapa Tanzania, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Uchaguzi upo Kenya boss.
 
Upinzani (hasa Cdm) kwa sasa wanategemea hisani ya Ccm ili kufanya siasa, alafu bado tunaamini kuna upinzani hapa nchini ?... Mzaha huu...

Hakuna haki za kikatiba tena, demokrasia yetu ya kiini macho hatimaye imetekwa hadharani...

JokaKuu Pascal Mayalla Kiranga denooJ
Ile siku Mama anaruhusu mikutano ya hadhara, wote waliokuwa ukumbini walishangilia na baada ya hapo wanapigwa beche!.

Mimi nilimshukuru pia ila sikuishia kwenye kushukuru tuu kitutusa, nilimshukuru na kuzungumzia need to put a mechanism in place kuzuia viongozi wetu wasizigeuze haki zetu as favours, haki ni rights, ni stahili stahiki na sio hisani, huruma au favours za rais aliyeko madarakani!.
P
 
Alikuwa ameweka vitu vizito kichwani, maana anajua viongozi wenzake hawaamini anachokitaka, na wananchi pia. Hii ndio maana akawa anaongea lugha za kihuni. Kwa mkutano muhimu kama ule wa jana kiongozi kupanda jukwaani ukiwa umepiga vitu ni lack of seriousness. Ni juu ya wafuasi wote wa CDM wenye ni njema na chama kumpinga waziwazi. Apigwe pembeni hata kwa Mbatia formula.
Kuna ka clip kapo kule kwa Kigogo kana dakika 1 na sek 25, yani nmekadawload nimeweka kwenye flash kabisa kila saa nakasikiliza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ka clip kapo kule kwa Kigogo kana dakika 1 na sek 25, yani nmekadawload nimeweka kwenye flash kabisa kila saa nakasikiliza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni haki yako kusikiliza, tena na vile umekapata kwa kigogo sio kakudelete kabisa. Inaonekana ww ni mzee, ndio maana umeona ukisema umekapata kwa kigogo itaonekana na ww unaenda na wakati,,😂😂
 
Upinzani (hasa Cdm) kwa sasa wanategemea hisani ya Ccm ili kufanya siasa, alafu bado tunaamini kuna upinzani hapa nchini ?... Mzaha huu...

Hakuna haki za kikatiba tena, demokrasia yetu ya kiini macho hatimaye imetekwa hadharani...

JokaKuu Pascal Mayalla Kiranga denooJ

..kufanya siasa ni HAKI ya KIKATIBA Watanzania.

..Nadhani ume-conclude kwamba CCM wamepoka au wamepora haki hiyo ya Watanzania.

..Katika mazingira hayo sikutegemea uvilaumu vyama vya upinzani. Nilitegemea uilaumu CCM kwa kuvunja katiba na sheria.

..Kuvilaumu vyama vya upinzani ni sawa na kumlaumu binti aliyebakwa, badala ya kumlaani aliyebaka.

..Upinzani Tanzania upo, isipokuwa ni upinzani unaodai haki kwa njia za AMANI.

..Wapo baadhi yetu ambao wanatamani wapinzani wawalazimishe CCM kufuata Katiba, lakini tukubaliane kwamba Tanzania hakuna wapinzani wa aina hiyo.
 
Kuna ka clip kapo kule kwa Kigogo kana dakika 1 na sek 25, yani nmekadawload nimeweka kwenye flash kabisa kila saa nakasikiliza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
WALAU LEO UMEPATA CHA KUANDIKA ,HUENDS UKALIPWA MAANA SIKU ZILIKUWA ZIMEPITA NJAA INGEKUWA BILA UCHAWA NA UMALAYA WA KISIASA HUWEZI KUISHI.
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
 
Back
Top Bottom