Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Labda ukamanda wako ni wa kuibaKamanda mwenzangu acha hasira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ukamanda wako ni wa kuibaKamanda mwenzangu acha hasira
Ndiyo hao hao MATAGA wa jiwe bado wapo usingiziniDuh,hii iko chini sana kwa hadhi yako Mami, yaani huna tofauti na Etwege.
Sijampangia nimetolea maoni post yake. Mçcm mwenzako huyoUsimpangie cha kupost.
Huna akili wewe mnyarwandaUsimpangie cha kupost.
Pascal namfahamu tangu sehemu ya kazi hadi hapa jukwaani labda kama ni mgeni kwakoUsimlaumu Pascal!.
Hebu rudia kuangalia clip ya Mbowe kule mwanza alafu usometena alichoandika huyo Mayala.
Usipo muelewa kapime akili.
Acha kujipendekeza kwa warumePascal namfahamu tangu sehemu ya kazi hadi hapa jukwaani labda kama ni mgeni kwako
SAFARI HII MPAKA UIZALIE MTOTO CHADEMAMakamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Wacha wivu dada mkubwaAcha kujipendekeza kwa warume
Umepiga kwenye mshonoSAFARI HII MPAKA UIZALIE MTOTO CHADEMA
Huyo Magu kila siku unaemsemea hapa ni yupi?Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli inamtafuna
Kiaje?SAFARI HII MPAKA UIZALIE MTOTO CHADEMA
ccm mbele kwa mbele,mliipenda wenyewe acha tuvimbe tupasuke ,mpaka tuisome namba ccm mbele kwa mbele.Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Hata mimi nimeliona hiloChadema ilisha kufaga kitaaambo! Hapa sshv wamefufua jina tu na lipo kimkakati tu! Inaonekana kuna vitu vinakwama kwa mabeberu bila kua na picha inyoonesha nchi ni ya vyama vingi na vipo active[emoji848] A! Mawazo yangu tu mabovu
Inaonesha kabisa wewe ulikuwa mnufaikaji na awamu ya Tano acha na wengine wafaidi magu hakuwa Mungu Wala mzazi kwetu atatuachiaje laana laana isiyo na sababu haimpati mtu mtu muovu akifa katikati ya uovu anaondoka na uovu wakeLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli inamtafuna
kamfufue uzikwe weweLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli inamtafuna
Anaabudu mizimuUzuri mmoja harudi kamwe! Kazikwe nae kama unamkubali. Wewe ni mfuasi wa marehemu
Umemaliza kaziwewe nani maana huwezi jua upumbavu wamhu bila kuwa na wakwako
nasema tena kamfufue uzikwe wewe
Sabaya jambazi suguLaana ya Magufuli na Sabaya haitawaacha salama enyi nyote!