Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Ww jamaa hujitambui kwan chademi ni yakwako

Unajua chadema iliko toka ebu unajua historia yake alichosema mwenyekiti ndo msimamo wa chama sasa km ww unapiga bas tafta pakwenda kulilia ila sio Chadema
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Uchochezi....
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kamanda gani wewe, Chadema haina kamanda mwenye tako kubwa...
 
Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!
hicho si chama ni kundi la majasusi linalopora rasilimali za wananchi.hali ya maisha sasa hivi ni tete.wananchi hawajui kesho itakuwaje?watakula au watalala njaa?kujiunga na hilo kundi ni kuwasaliti wananchi na ni dhihaka kubwa.
 
hicho si chama ni kundi la majasusi linalopora rasilimali za wananchi.hali ya maisha sasa hivi ni tete.wananchi hawajui kesho itakuwaje?watakula au watalala njaa?kujiunga na hilo kundi ni kuwasaliti wananchi na ni dhihaka kubwa.
Bora umemchana live
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Mkuu umesahau ile dhana ya kuunga mkono juhudi? Baada ya wale makamanda wengine waliunga mkono ile awamu ya 5 sasa ni zamu ya Mh. Mwenyekiti kuunga mkono awamu ya 6 kwani shida iko wapi? Mwenyekiti alipokaa jela miaka 2 hakuna hata mmoja wenu alieenda kumsaidia kukaa mahabusu badala yake mliendelea kulala nyumbani kwenu na wake zenu leo hii mnamchukia Mwenyekiti kwa kuunga mkono juhudi?
 
Back
Top Bottom