Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kamanda mwenzangu acha hasiraAlikosea Bimkubwa wako kuzaa pimbi kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda mwenzangu acha hasiraAlikosea Bimkubwa wako kuzaa pimbi kama wewe
Kaka karibu kisiwa ndui tupo makamanda wenzio wa ASP na TANUWewe endelea na majambazi wenzako
Duh,hii iko chini sana kwa hadhi yako Mami, yaani huna tofauti na Etwege.Pale ni aliteleza tuu ulimi!. Usifanye kabisa mzaha na mambo ya kulamba asali, utamu wa asali unalegeza hadi ulimi unateleza!.
P
Wewe ni chawa wa mwendakuzimu huwezi kuwa mwenzanguKamanda mwenzangu acha hasira
Kubali ukweli kamandaWw jamaa hujitambui kwan chademi ni yakwako
Unajua chadema iliko toka ebu unajua historia yake alichosema mwenyekiti ndo msimamo wa chama sasa km ww unapiga bas tafta pakwenda kulilia ila sio Chadema
We jambazi wa CCMKa
Kaka karibu kisiwa ndui tupo makamanda wenzio wa ASP na TANU
Uchochezi....Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kamanda gani wewe, Chadema haina kamanda mwenye tako kubwa...Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
hicho si chama ni kundi la majasusi linalopora rasilimali za wananchi.hali ya maisha sasa hivi ni tete.wananchi hawajui kesho itakuwaje?watakula au watalala njaa?kujiunga na hilo kundi ni kuwasaliti wananchi na ni dhihaka kubwa.Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!
AhaaaaaaaKamanda gani wewe, Chadema haina kamanda mwenye tako kubwa...
Bora umemchana livehicho si chama ni kundi la majasusi linalopora rasilimali za wananchi.hali ya maisha sasa hivi ni tete.wananchi hawajui kesho itakuwaje?watakula au watalala njaa?kujiunga na hilo kundi ni kuwasaliti wananchi na ni dhihaka kubwa.
Acha hasira. Ulifurahia upuuzi shwaini mkubwaInakutafuna wewe yatima
Kama vipi mfuate huko kuzimu mkapokee ujira wa udhalimu wenuAcha hasira. Ulifurahia upuuzi shwaini mkubwa
Nani?Kama vipi mfuate huko kuzimu mkapokee ujira wa udhalimu wenu
Mkuu umesahau ile dhana ya kuunga mkono juhudi? Baada ya wale makamanda wengine waliunga mkono ile awamu ya 5 sasa ni zamu ya Mh. Mwenyekiti kuunga mkono awamu ya 6 kwani shida iko wapi? Mwenyekiti alipokaa jela miaka 2 hakuna hata mmoja wenu alieenda kumsaidia kukaa mahabusu badala yake mliendelea kulala nyumbani kwenu na wake zenu leo hii mnamchukia Mwenyekiti kwa kuunga mkono juhudi?Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.
WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.
Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.
Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.
Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.
Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
DhalimNani?
Nimecheka utadhani ni mazuri.Pale ni aliteleza tuu ulimi!. Usifanye kabisa mzaha na mambo ya kulamba asali, utamu wa asali unalegeza hadi ulimi unateleza!.
P
Usimlaumu Pascal!.Sikutegemea Pascal kuchangia comment kama hii ya kipumbavu kabisa
Wewe mwenyewe jambaziWewe endelea na majambazi wenzako