Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Pale ni aliteleza tuu ulimi!. Usifanye kabisa mzaha na mambo ya kulamba asali, utamu wa asali unalegeza hadi ulimi unateleza!.
P
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Kaka mbona unatuhukumu kua tuna roho mbaya wana CCM ????Nini tatizo kaka?????Karibu ujiunge na chsma afu uone kama tuna roho nzuri au mbaya!!!Karibu
 
Chadema ilisha kufaga kitaaambo! Hapa sshv wamefufua jina tu na lipo kimkakati tu! Inaonekana kuna vitu vinakwama kwa mabeberu bila kua na picha inyoonesha nchi ni ya vyama vingi na vipo active[emoji848] A! Mawazo yangu tu mabovu
 
Makamanda hatuipendi CCM maana ilishakuwa na moyo wa kifedhuli.

WanaCCM wana roho mbaya kama mbwa mwitu aliye ndani ya kundi la kondoo.

Leo hii wazazi wanashindwa hata kupeleka watoto shule kwa kukosa pesa ya sare za shule. Kaya zinashindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Kundi moja tu la wanaCCM wanatafuna mali za umma kwa ujanjaujanja na ujuaji.

Alafu mwenyekiti wa chama chetu anakiri hadharani kuwa yeye yupo na hilo kundi la wanaCCM.

Makamanda tumeumia sana ila hatuna cha kufanya. Mbowe anaiona Chadema kama mali yake.
Unatafuta bwana asubuhi hiii yote?
 
Back
Top Bottom