Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Ok mkuu ilikuwa balaa mitaa ileDuh...!. Umenikumbusha mbali!, yaliyotokea Kigoto ile 1976, usiyakumbushe, nahisi kama hell itasubiri!.
Ila sio lazima kila mwana wa nyoka akawa nyoka, baadhi ya wana nyoka wengine sio nyoka ni mijusi tuu!.
P
"hadi wale jamaa zetu"[emoji3][emoji2][emoji1]Mkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV.
I wish Chadema all the best, leo ni kweli macho na masikio ya Watanzania wote, hadi wale "jamaa zetu" ni viwanja vya Furahisha, huku wengi wakiwa very high expectations na ku anticipates kuwa Mbowe atakiwasha!, huku tunaojua ukweli tunajua hawezi kukiwasha kufuatia wema mkubwa Mama aliomtendea, licha ya kumfutia kesi na kumuachia huru, pia Mama amekuwa mwema zaidi kwa kum icapacitate kwa capacity building kuwazesha mambo yawe, ikiwemo funding some activities including vikao na trips ikiwemo overseas, hivyo haitegemewi shukrani ya punda, Mbowe ni muugwana na mtu wa shukrani hivyo leo Samia atashukuriwa.
P
Fair enough Adv.Mayala, nchi yetu haihitaji fadhila za mtu, tunahitaji taasisi huru na imara zitakazotuletea utawala bora, nawashangaa sana ccm wanapomtukuza no 1,wakati anaongoza serikali ya ccm, wa kutukuzwa ni chama chao sio mtu!,katiba mpya ni muhimu mno,just imagine Adv.Mayala unaenda Arusha kufanya interview ya kuwa judge wa mahakama kuu kanda ya kaskazini!,na unashinda kihalali na kuwa judge, definitely maamuzi yako yatakuwa impartial na bila kuingiliwa na hii so called mhimili wenye mzizi mkubwa!all judges hapa nchini ni political appointees!!!Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Mkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV.
I wish Chadema all the best, leo ni kweli macho na masikio ya Watanzania wote, hadi wale "jamaa zetu" ni viwanja vya Furahisha, huku wengi wakiwa very high expectations na ku anticipates kuwa Mbowe atakiwasha!, huku tunaojua ukweli tunajua hawezi kukiwasha kufuatia wema mkubwa Mama aliomtendea, licha ya kumfutia kesi na kumuachia huru, pia Mama amekuwa mwema zaidi kwa kum icapacitate kwa capacity building kuwazesha mambo yawe, ikiwemo funding some activities including vikao na trips ikiwemo overseas, hivyo haitegemewi shukrani ya punda, Mbowe ni muugwana na mtu wa shukrani hivyo leo Samia atashukuriwa.
P
Umemusahau CountrywideMapema sana.
Ngoja aje Kulwa Jilala kuwakilisha washamba ambao wanafikiri bado ni enzi za mshamba aliewakilisha ushamba wa maosha.
Read to understood, kama ungekua bora na kiingereza chako si ungeenda kufundisha kiingereza hapo Rwanda?“The earlier” the better ! Improve your English
MAGUFULI ALIKUWA SHETANI KUSHANGILIA KIFO CHAKE HALIKUWA KOSAHawana lolote wanaambulia laana tu ya kushangilia kifo cha Magufuli
Mkuu Nkanini , hili la majaji wetu, niliwahi kuliandika, https://www.jamiiforums.com/threads...akimu-wenye-uwezo-mdogo-kubaini-haki.1887128/ Majaji walinimaindi!just imagine Adv.Mayala unaenda Arusha kufanya interview ya kuwa judge wa mahakama kuu kanda ya kaskazini!,na unashinda kihalali na kuwa judge, definitely maamuzi yako yatakuwa impartial na bila kuingiliwa na hii so called mhimili wenye mzizi mkubwa!all judges hapa nchini ni political appointees!!!
Mwambie aangalie madudu yaliyo fanywa na alie kuwa mbunge wa Ccm akaenda kuwa mwenyekiti klabu moja ya mpira. Aliwakuta wakiwa wako vizuri amewavuruga kauza hadi mali za timu. Sasa wana kodisha costa za kuwapeleka wachezaji uwanjani. Aibuuuu..Mkuu pascal mbona sasa uliutaka ubunge kupitia CCM ? Kuna mbunge wa CCM ambaye ni “independent man” kuna msaka ubunge wa CCM asiye propagandist? Tena muongo ? Sema tu you are a little bit smarter than your fellow maCCM because of your journalism profession and wide coverage of interviews you have had conducted with a lot of people across disciplines!
Weka hata picha baasiNi Asubuhi tulivu siku ya Jumamosi tarehe 21 Januari hapa Jijini Mwanza.
Macho na masikio ya Watanzania yanaelekezwa hapa Jijini Mwanza kutakakofanyika shughuli kubwa ya kisiasa ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.
Chadema Leo inazindua Rasmi mikutano ya kisiasa baada ya kuzuiwa kwa miaka saba kinyume kabisa na Katiba kwa tamko la aliyekuwa Rais wa Tanzania John Magufuli.
Rais wa Sasa Samia Suluhu Hassan aliamua kuondoa zuio hilo haramu kutokana na Maridhiano ya Kitaifa yaliyoasisiwa na yeye Rais pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.
Freeman Mbowe atafanya uzinduzi huo wa mikutano kitaifa hapa Jijini Mwanza katika viwanja vya Furahisha.
Pia katika tukio jingine Chadema leo inaadhimisha miaka 30 tangu kusajiliwa kwake mnamo mwaka 1993
Kwa muda wa wiki nzima habari kubwa katika jiji la Mwanza na viunga vyake ni kuhusu Mkutano huu ambao unatarajiwa kuvutia maelfu kwa maelfu ya wananchi wa jiji hili na mikoa jirani.
Molemo Media tunatarajia kuwaletea mubashara matukio yote muhimu yatakayoendelea hapa Jijini Mwanza kabla na wakati wa Mkutano huo mkubwa wa hadhara.
Karibuni Sana!
Hizo propaganda zako uchwara zilishafeli kitambo,zingepata mashiko kama ungewapelekea chawa wenzako huko kwenye makorido yenu ya lumumbaMkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV.
I wish Chadema all the best, leo ni kweli macho na masikio ya Watanzania wote, hadi wale "jamaa zetu" ni viwanja vya Furahisha, huku wengi wakiwa very high expectations na ku anticipates kuwa Mbowe atakiwasha!, huku tunaojua ukweli tunajua hawezi kukiwasha kufuatia wema mkubwa Mama aliomtendea, licha ya kumfutia kesi na kumuachia huru, pia Mama amekuwa mwema zaidi kwa kum icapacitate kwa capacity building kuwazesha mambo yawe, ikiwemo funding some activities including vikao na trips ikiwemo overseas, hivyo haitegemewi shukrani ya punda, Mbowe ni muugwana na mtu wa shukrani hivyo leo Samia atashukuriwa.
P
Katiba ambayo unatakiwa kusubiri SAMIA atake au asitake.Hoja KUU -Katiba mpya iliyo bora na shirikishi kabla ya 2014,period!
Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Kiukweli najivunia sana mimi kuwa ni mmoja wa wana jf wenye ngozi ngumu sana, kuweza kuwavumilia hawa vilaza wa type yako mliotamalaki humu JF!. Ni vilaza tuu ndio wanadhani Pasco ni propagandist, lakini wenye akili mzuri wanamjua vizuri Pasco wa ukweli, who is real is, and what he stands for!. The real Pasco ni realist.Hizo propaganda zako uchwara zilishafeli kitambo,zingepata mashiko kama ungewapelekea chawa wenzako huko kwenye makorido yenu ya lumumba