Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kama unaamini mimi ni msaka fursa za uteuzi ila sina nyota tuu ya kuteuliwa, hivyo kweli msaka teuzi wa kumtaka Samia amteue angeweza kuandika hivi kumhusu Samia... https://www.jamiiforums.com/threads...-ya-kukoseshwa-tumvumilie-tumpe-muda.1883239/Hamna lolote, tunakujua ulivyo labda udanganye wasiokujua. Sio kwamba hutaki hizo nafasi, bali huna nyota nazo tu. Huhitaji hata kutupa sifa za kulazimishia ambazo hatuzioni, ziko wazi peupe.
Kama unaamini mimi ni msaka fursa za uteuzi ila sina nyota tuu ya kuteuliwa, hivyo kweli msaka teuzi wa kumtaka Samia amteue angeweza kuandika hivi kumhusu Samia... https://www.jamiiforums.com/threads...-ya-kukoseshwa-tumvumilie-tumpe-muda.1883239/
P
Jiwe gizani !Mkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV...
Kweli kabisa !!Mkuu Chakaza , kumbe wewe mimi hunijui kabisa!. Mimi sio mtu wa propaganda kabisa!, mimi ni realist ambaye nasema vitu vya kweli tupu. Mimi ni an independent man, siwezi kurudi kwenye utumwa wa kutumwa na yeyote, hivyo siwezi kuwa msemaji wa taasisi yoyote!. Na hili mimelisema toka enzi ya JK, JPM na sasa Samia!.
P
Wananchi wameanza kuwasili kuwahi nafasi toka alfajiri hii.
Tusubiri tuone !! Ni mapema mno kubashiri !!Mtaji wao wa kisiasa wanaona kuwa upo Kanda ya ziwa tu. Hawa wameshapewa hela ili suala la katiba mpya lisogezwe mbele mpaka miaka Tisa. Jamaa wanatafuta ulaji na wanaona labda wasukuma ndio jamii kubwa ambao hawajasoma so ni rahisi ama Ni cheap kuwakamata
Kama mechi za Simba na Yanga 1980s mida hii tuko uwanjani mechi Saa 10 jioni
Kabla ya 2024 !!Hoja KUU -Katiba mpya iliyo bora na shirikishi kabla ya 2014,period!
Anaota huyo BavichaKabla ya 2024 !!
Mkuu Molemo , asante sana, tutafuatilia live kutokea hapo Uwanja wa Furahisha, naamini besides live ya Molemo Media, pia kutakuwa na live za mainstream media ambazo zina national wide coverage kama TBC, ITV, Star TV, Channel Ten, na Azam TV...
Kwani umeyafanya wewe?Maridhiano yanaumizaje?!!
Unaambiwa wiki nzima ni hekaheka wewe unashangaa asubuhi , mashuhuda wanasema watu wamelala viwanjani ! mbona hamuelewi nyie !Hii topic(sredi) imeandikwa mapema sana kabla ya tukio lenyewe.
The early the better!
Mungu Inshallah Ibariki CHADEMAYajayo ynafurahishaView attachment 2489782