We bado ni mjima sana,hata waje watu kumi,ujumbe utaupata tu kupitia mitandao,hii ni dunia ya kifijitaliNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Bwashee weka picha zilizopigwa kwa drone basi
Mbona Lissu alipopigwa risasi mlishangilia in fact mwenyekiti wenu UVCCM alisema this time watatumia sindano sio bunduki?? Chuki mmeleta wenyewe Wacha wafurahie maana hakuna namna. Mwisho wa siku jamaa yupo kuzimu na kina Mbowe wanakula Bata so hata ulie lie hauwapunguzii chochote.
Upumbavu mtupu, Jana kunasehemu nilisema mtapiga vichwa na mikono Ili muonekane wengi ndio ulicho jaribu kufanya hapa Ili mapengo yasionekaneAcha uongo we UvccM mpumbavu
View attachment 2490158
Watakwambia ni picha za asubuhii, nawakati ata Mimi Niko apa mkutanoniiHali mbaya kwakweli hapa viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza.
Watu ni wachache hawajajitokeza hata kidogo. Doooh kiukweli CHADEMA inaelekea kufa kabisa!
View attachment 2490146
View attachment 2490147
View attachment 2490148
Acheni propaganda za kitoto tazameni live mtiti huo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Magufuli? Lazima tufurahie like dubwana kufa, Kila tarehe 17/3 nachinja mbuziNdiyo wanasherehekea, faida ipi wanapata sasa, matokeo yake wamewatenga na kuwabagua wasukuma kwenye chama chao??
Na uelewe wewe pimbi wa chadema, nilichoandika hapo kinaakisi yote hata kumhusu Lissu
Hauwezi kufurahia mabaya yampatapo binadamu mwenzako, itakuwa tu wewe ni mpumbavu
Kwa hiyo wanamuunga mkono Samia sio?That is JPM effect na halli itaendelea kuwa mbaya zaidi. Kwa sasa wananchi wanashauku ya kumsikia mtu atayenena na kutenda kama Magufuli na yeyote atakayejaribu kumsema vibaya JPM wananchi wataampuuza maana ukweli wanaujua.
Wanamuunga mkono Samia..noma sanaKwa tambo zile hakuna kitu hapo.
Mnatekenyana na kucheka wenyewe, tulieni dawa iwaingie.Kwa aibu hii?
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli hiiNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
GoodAcha uongo we UvccM mpumbavu
View attachment 2490158
Unaamini picha za asubuhi? Nipo hapa uwanjani na nitatuma picha hivi pundeLaana haijawahi kumuacha mtu salama. Mtu mstaarabu hawezi furahia kifo cha mtu yyt yule. Na watu wastaarabu ndio wanasikilizwa