Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajifariji na picha za asubuhi? Karibu mkutanoni shehe,uchawa haulipiHali mbaya kwakweli hapa viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza.
Watu ni wachache hawajajitokeza hata kidogo. Doooh kiukweli CHADEMA inaelekea kufa kabisa!
View attachment 2490146
View attachment 2490147
View attachment 2490148
Wafe mara ngapi sasaMaskini chadema, kifo kiko njiani
Una viashiria vyote vya kikahaba...Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Picha za asubuhi unaleta sasahivi?. Leta video wakati msafara unaingia. Mwanza ipo na CHADEMA.
Unateseka ukiwa wapi, wamefurahi sababu mlijifanya miungu watu au unadhani ni Raha kumuua Mawazo, saanane, na Lissu kisa siasa? Hata Mussolini au Hitler alipokufa watu walisherekea.Ndiyo wanasherehekea, faida ipi wanapata sasa, matokeo yake wamewatenga na kuwabagua wasukuma kwenye chama chao??
Na uelewe wewe pimbi wa chadema, nilichoandika hapo kinaakisi yote hata kumhusu Lissu
Hauwezi kufurahia mabaya yampatapo binadamu mwenzako, itakuwa tu wewe ni mpumbavu
Unauhakika utafika hiyo tarehe uliyoitaja hapo? Je ukifa sasa!Magufuli? Lazima tufurahie like dubwana kufa, Kila tarehe 17/3 nachinja mbuzi
Lissu ni msalitiMbona Lissu alipopigwa risasi mlishangilia in fact mwenyekiti wenu UVCCM alisema this time watatumia sindano sio bunduki?? Chuki mmeleta wenyewe Wacha wafurahie maana hakuna namna. Mwisho wa siku jamaa yupo kuzimu na kina Mbowe wanakula Bata so hata ulie lie hauwapunguzii chochote.
Aliyeaga ni Kamanda AsiyechokaWewe ndio yule ulituaga dar kwa shingo upande unaelekea mazet kwenye mkutano wa chadema? Au nimekosea. [emoji41]
Wenye akili ndogo kama zako, hiyo ni fursa kwaoUnateseka ukiwa wapi, wamefurahi sababu mlijifanya miungu watu au unadhani ni Raha kumuua Mawazo, saanane, na Lissu kisa siasa? Hata Mussolini au Hitler alipokufa watu walisherekea.
Na ipo hivi wasukuma wataipigia kura Chadema 2025 sababu matatizo ya mfumuko wa bei,mgao,umasikini hayajatatuliwa na CCM kwa miaka 60 Sasa so kiufupi hawana namna zaidi ya kuipigia Chadema.
Turudi hapa 2025 kufufua huu Uzi baada ya CCM kufutwa kabisa Kanda ya ziwa ambayo kabla ya siasa za ukabila 2015 ilikua ngome ya upinzani.
Picha imepigwa wima sana[emoji23][emoji23][emoji23]Atakama ila hizi picha zimepigwa kitaalam sana
Hata hizo t-shirt nyekundu za katiba mpya nazo za miaka ya nyuma?Mimi sio mtaalam wa picha lakini hii picha inaonekana ni ya miaka ya nyuma.
Wewe endelea kuwa chawa wa Nikki wa pili ndiyo kazi unayoiweza.
Weka update ya mjengo wake wa ghorofa kama lishaisha.
Vipi Mwanyika aliyekuwa Makam wa Rais ACACIA? mkamzawadia ubunge kabisa licha ya kutuibia Makinikia kwa miaka 20!!!Lissu ni msaliti
Marehemu huwa anaua? Sisi tunachojua Jiwe ni marehemu. Lini aliamka akaiua Chadema?CHADEMA ilishauliwa na Magufuli.
Huyo Kamanda aliyechoka sijui mbowe alimafanya kitu gani yeye muda wote ni kumsakama mbowe tu.
Tukana tu ila ukweli ndio huo hutaki unaacha. Sasa kwa akili zako nani ataacha kuipigia Chadema kura kama mgombea ni Samia? Yaani wachague chama kinachowaletea mfumuko wa beiWenye akili ndogo kama zako, hiyo ni fursa kwao
Mwanyika ni jembe lile. Mwanyika ana akili sana sijawahi kuonaVipi Mwanyika aliyekuwa Makam wa Rais ACACIA? mkamzawadia ubunge kabisa licha ya kutuibia Makinikia kwa miaka 20!!!
Empty set