Mwanzilishi wa jina "Mkuu" kwenye majukwaa Mungu anakuona.

Mwanzilishi wa jina "Mkuu" kwenye majukwaa Mungu anakuona.

Mkuu, samahani kumbe imekukera nlivyokutongoza kwa swaga hizo. Sasa mbona umekubali mkuu?
 
Kwakweli nachukia hii tabia ya Kaka zetu Jf kumuita mwanamke "Mkuu" kwenye haya majukwaa, tutafutien jina lingine jamani, kama tuko jeshini.

Wengine mtu mpaka anakutongoza pm anaweka swaga za mkuu hii ni hatari kabisa. Mmekosa kabisa jina la kutupatia zaidi ya kutupa hili jina?? itaneni wenyewe kwa wenyewe kwakweli.
tatizo IDs fake, kujua nani ME nani KE ni shida, so ili ku- simplify mambo ni kusema MKUU as long as hata mwanamke anaweza kuwa mkuu.
pia ni kwa ajili ya ku- equalize au kuweka usawa kwa wote maana humu kuna wazee, watoto, vijana, wengine humu wanachat na baba zao bila kujua, wengine na wakwe zao, wwngine na watoto wao, so mtu anaweza akaona profile picture ya kike naye akaita miss au baby kumbe ni dingi yake, you see
 
Kwakweli nachukia hii tabia ya Kaka zetu Jf kumuita mwanamke "Mkuu" kwenye haya majukwaa, tutafutien jina lingine jamani, kama tuko jeshini.

Wengine mtu mpaka anakutongoza pm anaweka swaga za mkuu hii ni hatari kabisa. Mmekosa kabisa jina la kutupatia zaidi ya kutupa hili jina?? itaneni wenyewe kwa wenyewe kwakweli.
Mi napendekeza litumike "mkongwe au mhenga" badala ya mkuu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Mi napendekeza litumike "mkongwe au mhenga" badala ya mkuu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mhhh 😡😡😕😕
 
Kwakweli nachukia hii tabia ya Kaka zetu Jf kumuita mwanamke "Mkuu" kwenye haya majukwaa, tutafutien jina lingine jamani, kama tuko jeshini.

Wengine mtu mpaka anakutongoza pm anaweka swaga za mkuu hii ni hatari kabisa. Mmekosa kabisa jina la kutupatia zaidi ya kutupa hili jina?? itaneni wenyewe kwa wenyewe kwakweli.
Tumekupata mkuu.
 
Bhc kuanzia Leo humu ndan wanawake wote mtaitwa vipusa na ukiwa mmoja itaitwa kipusa,,


Apo unaonaj????
 
Back
Top Bottom