dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Rakims mimi kuna ndoto mbili zimewahi nabado huwa saanyingine zunarudi..
Moja ni kupaa angani yani napaa kabisa halafu naona rahisi kweli yani
Mbili ni kusoma yani hii huwa nikiamka najiuliza maswali mengi sana.
Yani nimara kwamara nipo nasoma darasani namarafiki zangu wa karibu.
Moja ni kupaa angani yani napaa kabisa halafu naona rahisi kweli yani
Mbili ni kusoma yani hii huwa nikiamka najiuliza maswali mengi sana.
Yani nimara kwamara nipo nasoma darasani namarafiki zangu wa karibu.
Last edited by a moderator:
