Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Mimi kuna sehemu niliwahi kupanga nyumba Ile sehemu ni Mimi tu ndio nilikuwa sina mke, wale madogo wapangaji wenzangu waliokuwa wamepanga chuma kimoja kimoja, yaani kituko ni kwamba saa mbili kamili usiku wameishajifungia Na wake zao😬😬..kuamka kwao ni saa mbili, Mimi nalala saa sita usiku naamka saa kumi Na moja alfajiri, hivi unahisi kwa maisha hayo hao madogo kwanini wasikongoroke, kipindi kile nilikuwa nikiwaambia Nina miaka 30 walikuwa hawaamini , nilikuwa naonekana kama dogo wa miaka 25 au 24
Wanatumika sana au vipato ndio havija kaa sawa?
 
Tatizo letu hamjui akili ya mwanamke kwanza uwe shoo shoo unapiga kama kakuibia bilion au kama hutoonana na mwanamke tena pili mpe pesa sio nyingi hata kama kidogo mpe tu bila maelekzo yaan mpe baby chukua pesa ukatumie
Tatu kua na mvuto mbele za watu hii itamfanya awe na wivu wivu ndio mapenz ujanja huko umooo yaan hapo mambo yatakua humuuuu tu
Wewe kweli ni appoh
 
Kama unadhani nasema uongo muulize Nikki wa Pili.

Ama nasema uongo ndugu zangu?
Mtu yoyote mwenye njaa usiaamini maamuzi yake, subiri ashibe kwanza ndiyo utajua msimamo wake! Njaa hufanya baadhi ya watu kafanya maamuzi wasiyoyapenda kisa njaa! Tena ogopa sana neno nakupenda kutoka kwa mtu mwenye njaa!!
 
Mtu yoyote mwenye njaa usiaamini maamuzi yake, subiri ashibe kwanza ndiyo utajua msimamo wake! Njaa hufanya baadhi ya watu kafanya maamuzi wasiyoyapenda kisa njaa! Tena ogopa sana neno nakupenda kutoka kwa mtu mwenye njaa!!
Umemaliza ukweli wote.
 
Kwa sababu the so called vichwa zimekula u turn na speed ya 180. Woman on top for life sijui utabielewaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku zote kichwa kitabaki kua kichwa hata kama ni kichwa cha mwendawazimu,na mkia utabaki kua mkia hata kama ni mkia wa pweza! Zingatia hilo Fake P! Falsafa!!
 
Back
Top Bottom