Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Nimeisha achana nae, nimuache mara ngapi, baba yangu mpaka ameugua sukari kwa sababu ya stress zilizosababishwa Na mwanamke...wewe unadhani Mimi ni mpumbavu sioni, Na kwa taarifa yako Nina maendeleo kuliko marafiki zangu walioowa, yaani jamaa Wana maisha magumu hata kununua kiatu kipya ni changamoto eti anatunza familia🤑🤑....pesa yangu Mimi Haina mambo mengi Na hapa nipo najichanga mwakani nifungue carwash standard, Na garage itakayokuwa na compressor zisizopungua tatu kandokando mwa barabara ya shinyanga.......kuowa kwa zama hizi ni usengerema, zalisha mwanamke mpe matumizi Aishi anapojua tusifatane Na kumbikumbi..upo nyonyo,🤓🤓
Kwanza mkuu nikupongeze kwa kuwa umeweka akili na nguvu yako kwenye maendeleo zaidi.

Pili nataka nikwambie pia sio wanawake wote ni wabaya ila wewe uma athirika na historia inayotokana na madhara aliyopata baba yako kutokana na Wanawake...
Usiogope. Jenga maisha kwanza then tafute kogoli upumzishw nafsi.

Nakuombea Insha Allah
 
Ila wewe hizi habari umezitoa wapi? 😹😹😹
Yule mtoto bila DNA ni wa kwake jamani mtavunja ndoa za watu… mengine yawapite
Lamomy nakushusha nyota hii habari ili trend sana.DNA ilipimwa ni mtt wa mwanaume aliyeolewa nae saiv na ana mimba ya pili.niki alikuwa anasomesha tu,alipomaliza CPA akapata GPA kubwa akapata kazi sehemu nzr.niki akapigwa na kitu chenye ncha Kali utosini.
 
Nimeisha achana nae, nimuache mara ngapi, baba yangu mpaka ameugua sukari kwa sababu ya stress zilizosababishwa Na mwanamke...wewe unadhani Mimi ni mpumbavu sioni, Na kwa taarifa yako Nina maendeleo kuliko marafiki zangu walioowa, yaani jamaa Wana maisha magumu hata kununua kiatu kipya ni changamoto eti anatunza familia🤑🤑....pesa yangu Mimi Haina mambo mengi Na hapa nipo najichanga mwakani nifungue carwash standard, Na garage itakayokuwa na compressor zisizopungua tatu kandokando mwa barabara ya shinyanga.......kuowa kwa zama hizi ni usengerema, zalisha mwanamke mpe matumizi Aishi anapojua tusifatane Na kumbikumbi..upo nyonyo,🤓🤓
Wapo pia wenzako wenye ushuhuda mambo Yao yalinyooka zaidi ya walivyokuwa baada ya kupata support ya mchango wa ubavu wake. Kwahiyo hili gazeti lako na ushuhuda wa hapa na pale katafute pakulisomeshea.
 
Ndio maana hali ya hewa imetulia.

Wanawake hawapendi wanaume dhaifu nyie mnawaita Good Boys.
Alipigwa na kitu Kizito sana,mtt si wake kasomesha CPA na Demu baad ya kuachana kaolewa na baba wa mtt.

Nikii alikuwa mshauri wa mahusiano kipindi anafinyiwa kwa ndani kumbe analegezwa alipe ada 😊.
 
Mwanaume hana mtetezi katika hii dunia ni bora kujihami kabla ya hatari, maana yakikukuta huna pa kukimbilia wala mtu wa kukupigania.
Mfano, Rihanna wa marekani anatetewa na wanawake wa South Africa mpaka kufikia kutaka tamasha la Chris Brown lisitishwe.
Kuwa kichwa Cha familia kuna gharama zake 😂🤣🤣
 
Tatizo letu hamjui akili ya mwanamke kwanza uwe shoo shoo unapiga kama kakuibia bilion au kama hutoonana na mwanamke tena pili mpe pesa sio nyingi hata kama kidogo mpe tu bila maelekzo yaan mpe baby chukua pesa ukatumie
Tatu kua na mvuto mbele za watu hii itamfanya awe na wivu wivu ndio mapenz ujanja huko umooo yaan hapo mambo yatakua humuuuu tu
Mwanaume mwenye sifa hizi unazozitaka inabidi umuumbe wewe, yaani nikupige mashine usiku kucha huku nikikufyokoa madole kwenye mnduku, nikupe pesa Bila kikomo, Na tena niwe Na mvuto utaweza wapi haya yote
 
Lamomy nakushusha nyota hii habari ili trend sana.DNA ilipimwa ni mtt wa mwanaume aliyeolewa nae saiv na ana mimba ya pili.niki alikuwa anasomesha tu,alipomaliza CPA akapata GPA kubwa akapata kazi sehemu nzr.niki akapigwa na kitu chenye ncha Kali utosini.
Sasa mbona bado Nikk yupo na mtoto wake??
Em lete pic ya mume mpya mmbea mwenzangu, hii ilinipita awweeh 😹😹😹
 
Kwa sasa mpaka mikia inapambana kwa nguvu sana kuwa vichwa 😁😁
Kwa sababu the so called vichwa zimekula u turn na speed ya 180. Woman on top for life sijui utabielewaje 😂😂😂😂
 
Alipigwa na kitu Kizito sana,mtt si wake kasomesha CPA na Demu baad ya kuachana kaolewa na baba wa mtt.

Nikii alikuwa mshauri wa mahusiano kipindi anafinyiwa kwa ndani kumbe analegezwa alipe ada 😊.
😹😹😹😹 ila wambea mnajitahidi, bana em leta pic mambo kwa ushahidi hapa..!
 
Kwa sababu the so called vichwa zimekula u turn na speed ya 180. Woman on top for life sijui utabielewaje 😂😂😂😂
50/50 inavunja vichwa na mikia. Sijui vitabaki viwiliwili tu😏
 
Picha sina alibaki na mtt baada ya kupima DNA ni mtt wa msela.
Weeh huyo msela wa wapi? I mean anafanya issue gani town??
Lakini yule mtoto muda mwingi yupo na baba yake ujue, na mbona wanafanana??
Hii imekaaje mmbea mwenzangu?? 😹
 
Back
Top Bottom