Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Akili akili akiliii.
Huna akili Wachana. Na mwanamkee
Nimeisha achana nae, nimuache mara ngapi, baba yangu mpaka ameugua sukari kwa sababu ya stress zilizosababishwa Na mwanamke...wewe unadhani Mimi ni mpumbavu sioni, Na kwa taarifa yako Nina maendeleo kuliko marafiki zangu walioowa, yaani jamaa Wana maisha magumu hata kununua kiatu kipya ni changamoto eti anatunza familia🤑🤑....pesa yangu Mimi Haina mambo mengi Na hapa nipo najichanga mwakani nifungue carwash standard, Na garage itakayokuwa na compressor zisizopungua tatu kandokando mwa barabara ya shinyanga.......kuowa kwa zama hizi ni usengerema, zalisha mwanamke mpe matumizi Aishi anapojua tusifatane Na kumbikumbi..upo nyonyo,🤓🤓
 
Wanaume wa sasa hivi wamekua waoga waoga tu sijui hata wamekutwa na nini. Kila kitu inawasi wasi.😂😂
Mwanaume hana mtetezi katika hii dunia ni bora kujihami kabla ya hatari, maana yakikukuta huna pa kukimbilia wala mtu wa kukupigania.
Mfano, Rihanna wa marekani anatetewa na wanawake wa South Africa mpaka kufikia kutaka tamasha la Chris Brown lisitishwe.
 
Tatizo letu hamjui akili ya mwanamke kwanza uwe shoo shoo unapiga kama kakuibia bilion au kama hutoonana na mwanamke tena pili mpe pesa sio nyingi hata kama kidogo mpe tu bila maelekzo yaan mpe baby chukua pesa ukatumie
Tatu kua na mvuto mbele za watu hii itamfanya awe na wivu wivu ndio mapenz ujanja huko umooo yaan hapo mambo yatakua humuuuu tu
 
Alimcheat na pia yule mtt kachek DNA sio wake na Demu kashaolewa na ada ya CPA alimlipia.
Ila wewe hizi habari umezitoa wapi? 😹😹😹
Yule mtoto bila DNA ni wa kwake jamani mtavunja ndoa za watu… mengine yawapite
 
Back
Top Bottom