Mwanzoni mtaishi kwa amani sana. Akishapata pesa tu amani inatoweka

Wanatumika sana au vipato ndio havija kaa sawa?
 
Wewe kweli ni appoh
 
Kama unadhani nasema uongo muulize Nikki wa Pili.

Ama nasema uongo ndugu zangu?
Mtu yoyote mwenye njaa usiaamini maamuzi yake, subiri ashibe kwanza ndiyo utajua msimamo wake! Njaa hufanya baadhi ya watu kafanya maamuzi wasiyoyapenda kisa njaa! Tena ogopa sana neno nakupenda kutoka kwa mtu mwenye njaa!!
 
Mtu yoyote mwenye njaa usiaamini maamuzi yake, subiri ashibe kwanza ndiyo utajua msimamo wake! Njaa hufanya baadhi ya watu kafanya maamuzi wasiyoyapenda kisa njaa! Tena ogopa sana neno nakupenda kutoka kwa mtu mwenye njaa!!
Umemaliza ukweli wote.
 
Kwa sababu the so called vichwa zimekula u turn na speed ya 180. Woman on top for life sijui utabielewaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku zote kichwa kitabaki kua kichwa hata kama ni kichwa cha mwendawazimu,na mkia utabaki kua mkia hata kama ni mkia wa pweza! Zingatia hilo Fake P! Falsafa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…