Mwasisi wa TANU, Shushushu anayetajwa kufanya kazi na mashirika 8 ya Kijasusi duniani

Mwasisi wa TANU, Shushushu anayetajwa kufanya kazi na mashirika 8 ya Kijasusi duniani

Chillah

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
8,870
Reaction score
10,066
C1699521-88FA-4A10-84AF-A8E099E454F1.jpeg


7488A50E-7F26-47B9-B11C-8D9F7A408574.jpeg


3077D2B7-6651-4B4E-AB9B-798E52AF6179.jpeg


BC764CA0-1F5B-486A-95F7-7701E0290CDF.jpeg


EC08028D-CE3E-4993-A2D4-8C870D251789.jpeg


7C89543B-45EA-4AE3-9424-9D1F5F8E847A.jpeg


11EDF00D-0838-4F5C-9DDF-088FFB4414DB.jpeg


Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU

Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha

Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk

Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika historia kwa mitazamo kuliko tafiti
 
View attachment 2516322

View attachment 2516325

View attachment 2516326

View attachment 2516327

View attachment 2516328

View attachment 2516330

View attachment 2516332

Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU

Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha

Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk

Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika historia kwa mitazamo kuliko tafiti
Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.

Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).

Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.

Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.

1676312755360.jpeg

James Brennan University of Iowa
 
Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.

Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).

Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.

Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.

View attachment 2516444
James Brennan University of Iowa

Acha uongo we mzee,kila jambo la tanu na taa wewe ndio source,kawaongopee vitukuu wako.
 
Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.

Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).

Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.

Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.

View attachment 2516444
James Brennan University of Iowa
Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako
 
Acha uongo we mzee,kila jambo la tanu na taa wewe ndio source,kawaongopee vitukuu wako.
Jiwe...
Unaweza ukanijibu kwa adabu hakuna sababu ya matusi na kunizomea.

Vijana wengi kutoka vyuo vikuu vya Marekani kama James Brennan wamepitia kwangu wakati wanaandika Thesis zao kupata Ph D.

Hawa wamesoma historia ya TAA na TANU kwangu.

Mimi nimesoma historia ya TANU kwanza nyumbani kwetu na katika jamii yangu kwani babu zangu ndiyo walioasisi African Association 1929.

Picha za Denis Phombeah ulizoziona hapa mimi ndiye source na nilimtafutia James Brennan.

Lakini ukiwa unaona mimi ni muongo kwa haya nikuelezayo sawa.

Nachokuomba acha kunifanyia kiburi mimi ni umri pengine sawa na mama au baba yako.

Niheshimu kama baba yako.

Huyu kijana hapo chini anaitwa John Calachi alikuwa mwanafunzi hapa Tanzania yeye na mkewe Emily na mkewe ndiye aliyepitia mikononi mwangu wakati anaandika Thesis yake kupata Ph D.

Hapa tuko sote New York hii siku alikuja kwangu kama kunishukuru kwa msaada kwa mkewe akanichukua anionyeshe mji.

Kijana aliyefunzwa adabu na mama yake.

SAM_1506.JPG

Brooklyn Bridge, New York, with John Calachi
7 April 2011​
 
Acha uongo we mzee,kila jambo la tanu na taa wewe ndio source,kawaongopee vitukuu wako.
kijana kuwa na staha
mwelevu ni yule mwenye kuona jambo asilolielewa na kukaa kimya au kuuliza kwa hoja na si kejeli

wengi humu tunamjua mzee mohammed na historia yake kwa ujumla na siyo sisi tu bali vyombo vingi vimeshakwenda kuomba/kufanya nae interview pale kwake magomeni kama bbc,azam,itv nk,

wewe ni nani wakuandika shombo zako na kejeli kwa mtu ambae anaweza kuwa sawa na umri wa babu yako?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mohamed Said anadeal na wavaa kobazi tu
Mdukuzi,
Inakuwaje unakuwa namna hii?
Yvonne Chakachaka tulikaa hoteli moja Maputo mwaka wa 1990.

Wakati huo msichana mdogo sana.
Alikuwa anafanya Show Machava Stadium usiku.

Nilikwenda kumuona.

Hawa big stars huwezi kuwasogelea kirahisi wana ulinzi mkali labda yeye akuite mwenyewe.

Tukaja kukutana baada ya zaidi ya miaka 10 kupita.
Picha ndiyo hiyo hapo chini.

Nikamkumbusha show ya Machava Stadium na nikamwambia hakika niliipenda.

''Haya imekuwaje umekuwa mnene hivyo?''
Akacheka.

''Nimeolewa na nina watoto sasa.''

XOA8bGH5oZqiT4ql0S-RygHPokPeW6EKmejUjH7ISilsvDdVNNEQajN0HKFmZBRRrRwGU4SpKEMb8ol5DB3B4FKHk0O0Fw2mBR5EUNgJRR5x7_Gc3j00yh0oRrg7mwOjqCTG3lgo736J2rheWqh9307k0TdGUjNHm1xwjSYZe2pmL3m7i0OFpALCFbcSTDMQhLcfEmgT5oqgy2ZqQ-eMimHM8SGpHDS5e3NeHWqYIkM4L0uFUKGUUh5yVQuLNI2TMnGjbhzxVzfDhdC19uTsuJquiPBU-yVIhoPrTJqu2y4cN-7qh015sqvGzyP28s6Zm-k8YBVU9W3ALv7HVTc1etkk64HbitVA0e0CBFxBb1hCzIT0WZHnc6zTTdReeD1SR0ZqiGI8S8h5kzrfTN0h5R9UWhjlIJyThPIN3DXmhm8Aaa9zxScm3lZOo4yA0Wrq3LNMIpYSgtmFpTLm2w4w2t36UUTYRuKCG2CN3sQav5-ZvJWy8uWe74OAIBVC98o2q99KVPy8dIKwG9jvQOs17BGgM9tOIwOzb2P9d2fcgZDxg2EvlMs66v_qAFrXfIoz8YuX3CoaJKss25lUWi1SkVbk61DbQAl5luQUIZiO7IQkDWqBlI_IkfwyJzB6825zpgIFDxMrawohW82FGpPeBkAdrRDKeiUJtkQq2BsOzFw_x7lk1dd9NERK_TnDjjY3PDO7WFltGPkgp7C4KEPNUs1rOGeWTDJdTda9SQY7To3D5bf2PlQ4B_DxA1mpxEFhDQmVlqVUPMZZ1ZBatXQgikOlXn8RfZkYzddB7SkJiMw7FshUYZBpf2TKGhO5m_L6onbWwSmbFjvqHYS6mRbc5y_XLOPo1EU0szIvpDmbSZekZ2cUMrlyNb-1p9vSrdqG_aoL5d9Lsh0twK6Tsr159r-yVmZFB8XPUL6f2YsCJpqp9GrP4M98pXoOvMy6_Ig66hkrH2IZzgh60JDuMAg=w384-h480-no

Yvonne Chakacha na MS​
 
Mdukuzi,
Inakuwaje unakuwa namna hii?

Yvonne Chakachaka tulikaa hoteli moja Maputo mwaka wa 1990.

Wakati huo msichana mdogo sana.

Alikuwa anafanya Show Machava Stadium usiku.

Nilikwenda kumuona.

Hawa big stars huwezi kuwasogelea kirahisi wana ulinzi mkali labda yeye akuite mwenyewe.

Tukaja kukutana baada ya zaidi ya miaka 10 kupita.

Picha ndiyo hiyo hapo chini.

Nikamkumbusha show ya Machava Stadium na nikamwambia hakika niliipenda.

''Haya imekuwaje umekuwa mnene hivyo?''

Akacheka.

''Nimeolewa na nina watoto sasa.''

XOA8bGH5oZqiT4ql0S-RygHPokPeW6EKmejUjH7ISilsvDdVNNEQajN0HKFmZBRRrRwGU4SpKEMb8ol5DB3B4FKHk0O0Fw2mBR5EUNgJRR5x7_Gc3j00yh0oRrg7mwOjqCTG3lgo736J2rheWqh9307k0TdGUjNHm1xwjSYZe2pmL3m7i0OFpALCFbcSTDMQhLcfEmgT5oqgy2ZqQ-eMimHM8SGpHDS5e3NeHWqYIkM4L0uFUKGUUh5yVQuLNI2TMnGjbhzxVzfDhdC19uTsuJquiPBU-yVIhoPrTJqu2y4cN-7qh015sqvGzyP28s6Zm-k8YBVU9W3ALv7HVTc1etkk64HbitVA0e0CBFxBb1hCzIT0WZHnc6zTTdReeD1SR0ZqiGI8S8h5kzrfTN0h5R9UWhjlIJyThPIN3DXmhm8Aaa9zxScm3lZOo4yA0Wrq3LNMIpYSgtmFpTLm2w4w2t36UUTYRuKCG2CN3sQav5-ZvJWy8uWe74OAIBVC98o2q99KVPy8dIKwG9jvQOs17BGgM9tOIwOzb2P9d2fcgZDxg2EvlMs66v_qAFrXfIoz8YuX3CoaJKss25lUWi1SkVbk61DbQAl5luQUIZiO7IQkDWqBlI_IkfwyJzB6825zpgIFDxMrawohW82FGpPeBkAdrRDKeiUJtkQq2BsOzFw_x7lk1dd9NERK_TnDjjY3PDO7WFltGPkgp7C4KEPNUs1rOGeWTDJdTda9SQY7To3D5bf2PlQ4B_DxA1mpxEFhDQmVlqVUPMZZ1ZBatXQgikOlXn8RfZkYzddB7SkJiMw7FshUYZBpf2TKGhO5m_L6onbWwSmbFjvqHYS6mRbc5y_XLOPo1EU0szIvpDmbSZekZ2cUMrlyNb-1p9vSrdqG_aoL5d9Lsh0twK6Tsr159r-yVmZFB8XPUL6f2YsCJpqp9GrP4M98pXoOvMy6_Ig66hkrH2IZzgh60JDuMAg=w384-h480-no

Yvonne Chakacha na MS​
Nzuri hii Mzee Mohamed Said
 
Nzuri hii Mzee Mohamed Said
Smart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?

Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''

Itaeleweka.

''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.

Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?
 
Smart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?

Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''

Itaeleweka.

''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.

Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?
Chanzo chake ni wivu kwa kuwa hawa taki kuukubari ukweli uliopo na badala yake wana tumia nguvu kubwa kupotosha, kudhiaki, kutusi....

Lakini haito ondoa ukweli uliopo...

Katika historia za mzee Mohamed Said mimi nime pata kukutana na historia za ndugu zangu ambao wao si waislam lakini nilikuta katika historia moja wapo alizo ziandika mzee

Na ilinipa tamaa ya kutaka kusoma zaidi na nika weza

Wengine ni kuto ukubari ukweli, wengi hawa taki kuukubari ukweli ulipo
 
Smart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?

Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''

Itaeleweka.

''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.

Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?

Chuki inawaumiza...wanashindwa hata kuificha
 
Ni nadra sana kuona Mzee wetu Mohamed Said kuonesha ghadhabu na kujaribu kumrudisha ktk mstari kijana mpotovu, lazima kuna baadhi ya vijana hawajui namna ya kuzungumza na wazee ili tuzidi kufaidi historia na stori kibao sio tu za Tanganyika bali hata za hii dunia pana.

Tuendelee kumtia moyo Mzee Mohamed Said kwa kazi kubwa anayofanya kutuelimisha kuhusu historia mbalimbali, elimu kutokana na safari zake lukuki ngambo ili aendelee kufunguka pia kuchangia mada hapa jukwaa la historia.
 
Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.

Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).

Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.

Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.

View attachment 2516444
James Brennan University of Iowa
Huyo jamaa alikuwa jasusi kama Ali Tambwe ?
 
Back
Top Bottom