Mwasisi wa TANU, Shushushu anayetajwa kufanya kazi na mashirika 8 ya Kijasusi duniani

Mwasisi wa TANU, Shushushu anayetajwa kufanya kazi na mashirika 8 ya Kijasusi duniani

Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.

Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).

Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.

Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.

View attachment 2516444
James Brennan University of Iowa
Dah

Flushed in a line and Susie’s had to be filled in

Ok… vijana wako right
 
Mzee anza na ziara za Uarabuni Sasa. Picha na makfiri wa kizungu zimetosha Sasa.
Mose...
Ukiangalia nyuma ya tulio kwenye picha utaona pyramids.

1677126964573.jpeg

Giza, Cairo 1988

DXhQqVOIWSN5FwQXpcpGgTGnNOiyAfbB-wb7-cWpvXMHmXLMUSCnvIvw54TUBjCGHrzvZbRb2aOPAZGpfOoq5gAIyoqLcFjrAXfN0mxDR83n6Qen0VfCuhHnY9g8pPa_3Uk1a9iW1BqjT7EEsnhyXaj0vq0IQvojUOXQ9xV8AoME9GByLfGLOSKA5d-t2SMq025u2F9p9FjvYm3OXxU03gzcrWnbgXtZUoXX97q_WZjc8QMgRHvbtQ0kozboD1biIXCaHvphWiNNDVGpydUcuKjFmOM_2uZPOFfQSJuRVqd0fzYhipB0qvXPCZLiTddGAWTYkveU7CL4KbJPOjOfc5LC9G9Ie1peVpKuzp6zyNN6Q6lm6KQ6tyuTWL6JnTSpUPacBAJoRKKsUAm7vGoRD2hS3VJez24pFN2IkZNhiInbKSq7ek8YExwh4mBbAXI7ugFcd7i7GI2FMNmS8gmt-9VazH9rRTzb1cSyFT78X-7QW6awSg7ZzZ47jZ7uFslNPGuPsmAzqlWUroy3xMs9t3eatpH1wNbgLDx4rrWXPcwZ63_3BqqjgB7Mpq9CmrWN5--OXdLylghVxrYVvulKxgRVJselRSJnQHxvOYdNn0FH-slwueb5AgLI0b2T7DZxNNIwqctWCdWWBsvCa1PcOxWyXm6KwfzzzC0FC3gOkWEixGU9SH2VKVMkHK1j2h3qOQC7Am7FpMgvtU0VDJ89n5LL51hQBb8-iezNXqKRsXImq7p9w-c3D20AEA3SBpPATOa_hWMAe5eC-nO5Q1LSm9Z_pK9OQXlxiByuKOSL_cV0tD0kDItUWDzSu8J12HSaxjYNpVtwUyXhzSWyjyqiAZ18bT1beWOirHGGaAzXOTuuL9hGrg8HM4gI4cqMXWAAhlhc88psvDqlQp6O-FlQiFb8aV3OwBmqkTQQ77gzaY6hTCUyujrSzUkhtQHFop6GrVfwbQ2trhIqVrhlnTw=w867-h650-no

Heliopolis, Cairo 1991​
 

Attachments

  • 1677126937123.jpeg
    1677126937123.jpeg
    40.1 KB · Views: 6
Mzee anza na ziara za Uarabuni Sasa. Picha na makfiri wa kizungu zimetosha Sasa.
Mose...
Ukiangalia nyuma ya tulio kwenye picha utaona pyramids.

1677128325585.jpeg

Giza, Cairo 1988

DXhQqVOIWSN5FwQXpcpGgTGnNOiyAfbB-wb7-cWpvXMHmXLMUSCnvIvw54TUBjCGHrzvZbRb2aOPAZGpfOoq5gAIyoqLcFjrAXfN0mxDR83n6Qen0VfCuhHnY9g8pPa_3Uk1a9iW1BqjT7EEsnhyXaj0vq0IQvojUOXQ9xV8AoME9GByLfGLOSKA5d-t2SMq025u2F9p9FjvYm3OXxU03gzcrWnbgXtZUoXX97q_WZjc8QMgRHvbtQ0kozboD1biIXCaHvphWiNNDVGpydUcuKjFmOM_2uZPOFfQSJuRVqd0fzYhipB0qvXPCZLiTddGAWTYkveU7CL4KbJPOjOfc5LC9G9Ie1peVpKuzp6zyNN6Q6lm6KQ6tyuTWL6JnTSpUPacBAJoRKKsUAm7vGoRD2hS3VJez24pFN2IkZNhiInbKSq7ek8YExwh4mBbAXI7ugFcd7i7GI2FMNmS8gmt-9VazH9rRTzb1cSyFT78X-7QW6awSg7ZzZ47jZ7uFslNPGuPsmAzqlWUroy3xMs9t3eatpH1wNbgLDx4rrWXPcwZ63_3BqqjgB7Mpq9CmrWN5--OXdLylghVxrYVvulKxgRVJselRSJnQHxvOYdNn0FH-slwueb5AgLI0b2T7DZxNNIwqctWCdWWBsvCa1PcOxWyXm6KwfzzzC0FC3gOkWEixGU9SH2VKVMkHK1j2h3qOQC7Am7FpMgvtU0VDJ89n5LL51hQBb8-iezNXqKRsXImq7p9w-c3D20AEA3SBpPATOa_hWMAe5eC-nO5Q1LSm9Z_pK9OQXlxiByuKOSL_cV0tD0kDItUWDzSu8J12HSaxjYNpVtwUyXhzSWyjyqiAZ18bT1beWOirHGGaAzXOTuuL9hGrg8HM4gI4cqMXWAAhlhc88psvDqlQp6O-FlQiFb8aV3OwBmqkTQQ77gzaY6hTCUyujrSzUkhtQHFop6GrVfwbQ2trhIqVrhlnTw=w867-h650-no

Heliopolis, Cairo 1991

1677128394166.jpeg

Makka 2014​
Bwana Mose...
Naamini picha hizi zimekutosha.

La ukitaka zaidi nifahamishe nikuwekee.
 
Mpe heshima yake jasusi wetu

Achana na perepete za Yvonne mzee wangu
Timing...
Vipi nitaachana na Denis Phombeah?

Kabla ya kitabu cha Abdul Sykes Phombeah hakufahamika na yeyote si hapa wala katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Mimi nikaandika historia yake na ndiyo mkamfahamu kuwa kadi ya Phombeah ya TANU ni No. 5.

Sasa iweje tena ikawa hivyo?

Hata picha zake mnazoziona hapa mimi ndiye niliyezitafuta na imenichukua kiasi cha miaka 20 kuzipata.

Yvonne Chakacha picha yake ni jibu kama nisingeiweka ningekuwa sijajibu swali.

Ikiwa hukupendezewa na picha hiyo basi tuchukulie ni bahati mbaya kwako.
 
Timing...
Vipi nitaachana na Denis Phombeah?

Kabla ya kitabu cha Abdul Sykes Phombeah hakufahamika na yeyote si hapa wala katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Mimi nikaandika historia yake na ndiyo mkamfahamu.

kuwa kadi ya Phombeah ya TANU ni No. 5.
Sasa iweje tena ikawa hivyo?

Hata picha zake mnazoziona hapa mimi ndiye niliyesitafuta na imenichukua kiasi cha miaka 20 kuzipata.

Yvonne Chakacha picha yake ni jibu kama nisingeiweka ningekuwa sijajibu swali.

Ikiwa hukupendezewa na picha hiyo basi tuchukulie ni bahati mbaya kwako.
Hahahaha...
 
Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU

Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha

Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk

Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika historia kwa mitazamo kuliko tafiti
Mbona makala haina tofauti na machapisho ya Mohamed Said, au wewe umeona tofauti gani utufahamishe na sisi?
 
Gatz,
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimemtaja John Rupia mara 41 angalia faharasha yaani index.
Wengi hawasomi kitabu. Nilimaanisha kuwa haujawatendea haki katika ile comment hapo juu kuwa ukiwaondoa Waislam utabaki na Nyerere peke yake.
 
Wengi hawasomi kitabu. Nilimaanisha kuwa haujawatendea haki katika ile comment hapo juu kuwa ukiwaondoa Waislam utabaki na Nyerere peke yake.
Gatz,
Nilialikwa katika sijui neno gani linafaa kutumika.

Mjukuu wake Mzee Rupia, Joyce Rupia alinialika siku alipowaalika ndugu na jamaa kwenda kushuhudia maboresho aliyofanya kwenye kaburi la babu yake Chuo Cha CCM Kivukoni.

Sasa soma hapo chini kilichotokea:

''Shughuli ilikuwa fupi.

Waandaaji wa hafla siku hizi wamekuwa makini sana kwa muda.

Hupenda kuzipeleka ratiba mbio ili watu wakafanye mambo yao mengine.

Tulikuwa tumefikia karibu ya kufunga ghafla Joyce ananiomba nimzungumze Mzee John Rupia.

Nikamwambia kuwa sikujitayarisha kuzungumza.
"Sikutaka ujitayarishe nilitaka umzungumze John Rupia kama umjuavyo.''

Nilizungumza maneno machache kwa kuwagutusha wanahistoria kumtazama vizuri Mzee John Rupia kwa sura yake nyingine ya mtu wa fikra.

Wasimtazame John Rupia kama anavyoelezwa kuwa alikuwa mfadhili wa TANU tu.

Wamtazame John Rupia kutokea mwaka wa 1950 alipokuwa mjumbe ndani ya TAA Political Subcommittee akiwaunga mkono vijana wanamapinduzi walioigeuza TAA kuwa chama cha siasa bila ya katiba ya siasa.

Nilipomaliza kuzungumza wajukuu wa John Rupia na watu wengine wakawa wananifata wakati wa chai kutaka niwaeleze zaidi kuhusu mzalendo huyu.

Nilikuwa nikiwachekesha wajukuu wa Mzee Rupia kwa kuwaambia kuwa wasidhani babu yao alikuwa "Sanduku la Fedha."

Niliwaambia kuwa John Rupia alikuwa na mchango mkubwa wa fikra mbali ya uwezo wa mali.

Niliwaambia kuwa kama vile alivyoendesha makampuni yake kwa ufanisi ni hivyo hivyo ndivyo alivyoisaidia TANU kufanikiwa na kuwa chama imara.

Niliwaeleza kuwa sahihi yake ipo katika nyaraka muhimu sana ya Mapendekezo ya Katiba yaliyopeleka kwa Gavana Edward Twining mwaka wa 1950.

Mapendekezo haya yalijadiliwa kwenye mkutano wa TAA wa 1954 uliounda TANU na ni sehemu ya hotuba aliyotoa Julius Nyerere UNO mwaka wa 1955.''

261307315_1071510626929648_5577839436861636151_n.jpg
 
Libe...
Tuna wajibu wa kuwafunza adabu.
Huenda wakasikia na kuongoka.

Faida katika jamii.
Wamezaliwa wamekuta kila kitu kipo kwenye vidole vyao, hawana muda wa kusoma machapisho, vitabu n.k ili waweze kujifunza kupitia maandiko wamebaki kukebehi, kukejeri, dharau kila aina ufedhuri, jana nilikuwa nasoma kwenye mitandao ya kijamii wazo la Sugu kuwaibua wakongwe wa mziki wa zamani kwa kuaandaa kukumbusha vipaji vyao kupitia jukwaani kila ijumaa michango ya vijana wengi ni -ve kuhusu mkongwe wa hip hop search kote kwenye vituo vya redio usome michango ya vijana utashika kichwa na kushangaa kizazi kipya hakitaki kujifunza kwa vizazi vilivyowatangulia wao kejeli, matusi, dhihaka n.k
 
Smart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?

Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''

Itaeleweka.

''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.

Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?
Mzee hao wawili waliokujibu mwanzo mwenye Id inayoanzia na J na mwingine M usiwe unawajibu ni wana chuki na uislamu kupindukia mpaka wanatia kinyaa,

Hao ndio ukiona mijadala ambayo itagusia uislamu hata kwa asilimia moja tu basi watakuja kutukana na kudhihaki uislamu au mtu anayeonekana kuwa na vinasaba vya kiislamu..ushauri wangu kwako usiwe unawajibu hao wanaonekana hata kwao hakuna heshima,imagine mtu umemoa hadi andiko kuthibitisha ulichomwambia then anakwambia ni muongo..tabia ya hovyo sana hii
 
Mzee hao wawili waliokujibu mwanzo mwenye Id inayoanzia na J na mwingine M usiwe unawajibu ni wana chuki na uislamu kupindukia mpaka wanatia kinyaa,

Hao ndio ukiona mijadala ambayo itagusia uislamu hata kwa asilimia moja tu basi watakuja kutukana na kudhihaki uislamu au mtu anayeonekana kuwa na vinasaba vya kiislamu..ushauri wangu kwako usiwe unawajibu hao wanaonekana hata kwao hakuna heshima,imagine mtu umemoa hadi andiko kuthibitisha ulichomwambia then anakwambia ni muongo..tabia ya hovyo sana hii
Tadpole,
Ahsante sana kwa ushauri wako.

Hawa ndugu zetu wawili na wengine mfano wa hao wala wasikushughulishe.

Ukiona mtu anaegemea kwenye kejeli na matusi jua tayari ushamshinda.

Kichwa chenye hoja hakiwi na nafasi ya tusi au kejeli.

Muhimu ni kwenda na yeye hivyo atakavyo yeye bila ya wewe kurejesha tusi au kejeli dhidi yake.

Hapa ndipo penye ushindi.

Kejeli au matusi yake ndiyo kichocheo cha kusomesha zaidi historio ya kweli.

Kusomesha zaidi ndiyo kuelimisha zaidi.

Kuelimisha watu kuhusu ukweli wa historia ya uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam ndicho kinachoniweka mimi hapa JF.

Tubakie kwenye kambi hii na hawa ndugu zetu.

Nimeweka hapa uzi mpya: ''Historia ya Kadi ya TANU.''

Tuwasubiri tuwasikie watakuja na yapi:

333019004_552290563668740_5734716338504326809_n.jpg


332259949_1944711935880049_5271359357458178289_n.jpg

Kadi ya TANU 1954
Wanamjua ni nani alisanifu kadi hii na kuchapisha kwa fedha zake?

Jina lake anaitwa Ally Kleist Sykes.

Kadi yake ya TANU No. 2.

Baba yake Kleist Sykes ni katibu muasisi wa African Association 1929.

Wanamjua aliyechukua kadi za TANU na kwenda nazo Rufiji kutafuta wanachama wa kwanza wa TANU?

Jina lake anaitwa Said Chamwenyewe.

Anajua nani alikuwa anaziuza kadi hizi misikitini?

Mufti Sheikh Hassan bin Ameir.
Kosa kuandika historia hii?

Tuchukulie kuwa wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika Kadinali Rugambwa angekuwa bega kwa bega na Nyerere kupigania uhuru na Kadinali Rugambwa angekuwa anauza kadi za TANU ndani ya St. Joseph's Cathedral wangekubali historia hiyo kufutwa?
 
Back
Top Bottom