Huyo jamaa alikuwa jasusi kama Ali Tambwe ?Chillah,
Mwandishi ameandika sawasawa kabia wala hakuna tatizo ila hakuonyesha chanzo cha taarifa yake katoka wapi.
Mwandishi kapata historia hii kutoka kwangu na kutoka kwa James Brennan (“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”).
Historia ya Denis Phombeah na TAA kaipata kutoka kwangu ambayo chanzo ni Nyaraka za Sykes.
Historia ya ukachero wa Phombeah nik kutoka hiyo paper hapo juu ya James Brennan.
Hongera sanaMdukuzi,
Inakuwaje unakuwa namna hii?
Yvonne Chakachaka tulikaa hoteli moja Maputo mwaka wa 1990.
Wakati huo msichana mdogo sana.
Alikuwa anafanya Show Machava Stadium usiku.
Nilikwenda kumuona.
Hawa big stars huwezi kuwasogelea kirahisi wana ulinzi mkali labda yeye akuite mwenyewe.
Tukaja kukutana baada ya zaidi ya miaka 10 kupita.
Picha ndiyo hiyo hapo chini.
Nikamkumbusha show ya Machava Stadium na nikamwambia hakika niliipenda.
''Haya imekuwaje umekuwa mnene hivyo?''
Akacheka.
''Nimeolewa na nina watoto sasa.''
Yvonne Chakacha na MS
Ungejua kwamba wanaomropokea Mzee wetu pendwa ,Mzee moodi ni vijana wa ccm usingesema maneno hayo mama dWapinzani wa Tanzania haswa CHADEMA mna kubwa la kujifunza hapa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
Mzee Mohamed amejifunga kwenye simulizi za kidini tu. Na kueleza jinsi dini ilivyodhulumiwa na wajanja,..kumbe sio kweli walikuwa wajanja. Walikuwa wasomi wa miaka ile.View attachment 2516322
View attachment 2516325
View attachment 2516326
View attachment 2516327
View attachment 2516328
View attachment 2516330
View attachment 2516332
Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU
Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha
Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk
Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika historia kwa mitazamo kuliko tafiti
Pole kaka,kuna watu hawajui kuwa hoja hujibiwa na hoja ni sio mitusiSmart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?
Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''
Itaeleweka.
''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.
Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?
Kuna wahuni humu Mzee.Smart...
Kinachonishangaza ni huu uadui.
Najiuliza kwa nini huu uadui nini chanzo chake?
Matusi na kejeli nini sababu yake?
Mtu anaweza akaandika akanambia, ''Mzee Mohamed hapo hukusema kweli.''
Itaeleweka.
''Wewe mzee muongo...'' kadha wa kadha hakuna adabu inakuwa kama vike hapa ni mahali pa wahuni na vijana ambao kwao hawakufunzwa adabu.
Kitu gani kinawafanya kuwa hivi?
Wauchukie Umaskini waoChuki inawaumiza...wanashindwa hata kuificha
Date...Sikua namjua mzee said mpaka leo hii.Nyuz zake hapa jF sikuwahi muwa nazichukulia kwa uzito kabisaa hasa kwakua zimejifunga kwenye dini zaidi kitu ambacho sionagi mantik yake nut honestly umeni impress sana kwa hiyo brief history yako ya maisha binafsi
Uko sahihi mzee wangu na wala sina shida na historia ya jamii yako naomba usinielewe vibaya ila tu nasema sijawahi kuwa napendelea kuzifuatilia kwa kuzisoma kwakua hazijawa zikinihusu sana (na nadhani sio kosa kutokua interested na some stuffs)..Date...
Hakuna dini kama mafunzo (doctrine).
Naeleza historia ya jamii yangu na sisi ni Waislam vipi tuliathirika na ukoloni wa Mjerumani na Mwingereza.
Naeleza tuliyofanya katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Historia hii haikuwapo kabisa.
Ndiyo nikaamua kuitafiti na kuiandika.
Ikiwa wewe unajihisi vibaya kusoma historia ya African Association iliyojaa waasisi Waislam au historia ya Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilivyotoa viongozi wa TANU na wanachama wake hii ni bahati mbaya kwako.
Swali la wewe kujiuliza ni kwa nini historia hii ilifutwa historia ya TANU ikageuzwa kuwa historia ya Julius Nyerere peke yake?
Rogo...Mzee Mohamed amejifunga kwenye simulizi za kidini tu. Na kueleza jinsi dini ilivyodhulumiwa na wajanja,..kumbe sio kweli walikuwa wajanja. Walikuwa wasomi wa miaka ile.
Ili story yake iwe na mashiko, angeweza klubalance, ili waja waiangalie vizuri
Faana,
Inahitaji iwe na kitabu chake kabisa hiiFaana,
Makala hiyo inatokana na paper aliyoandika James Brennan msomi maarufu wa historia na mjuzi wa historia ya Tanzania.
Toa shaka kuwa alichaondika hakina ithibati:
View attachment 2517973
View attachment 2517974
“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”
Processes of decolonization in the context of the Cold War provided enormous opportunities for nationalist figures to parlay insider nationalist knowledge into significant metropolitan influence. T...www.tandfonline.com
Articles
“The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953–1974”
James R. Brennan
Pages 153-169 | Published online: 16 Jun 2020
Faana,Inahitaji iwe na kitabu chake kabisa hii
🙏Faana,
Hakika.
Kwa udini alionao…. Hatakusaidia sana kwasababu ‘star’ wa habari yako anaitwa DenisView attachment 2516322
View attachment 2516325
View attachment 2516326
View attachment 2516327
View attachment 2516328
View attachment 2516330
View attachment 2516332
Nina ombi kwa Mzee wetu Mohamed Said utusaidie kuiweka sawa hasa maeneo yanayo husu TAA na TANU
Mwandishi naona kama ana pishana sana na machapisho mengi uliyoyachapisha
Kama vuguvugu kutoka kwa bwana sykies nk
Kwa heshima yako tafadhari tusaidie na uwasaidie hawa waandishi wetu wanao andika historia kwa mitazamo kuliko tafiti
Mpe heshima yake jasusi wetuMdukuzi,
Inakuwaje unakuwa namna hii?
Yvonne Chakachaka tulikaa hoteli moja Maputo mwaka wa 1990.
Wakati huo msichana mdogo sana.
Alikuwa anafanya Show Machava Stadium usiku.
Nilikwenda kumuona.
Hawa big stars huwezi kuwasogelea kirahisi wana ulinzi mkali labda yeye akuite mwenyewe.
Tukaja kukutana baada ya zaidi ya miaka 10 kupita.
Picha ndiyo hiyo hapo chini.
Nikamkumbusha show ya Machava Stadium na nikamwambia hakika niliipenda.
''Haya imekuwaje umekuwa mnene hivyo?''
Akacheka.
''Nimeolewa na nina watoto sasa.''
Yvonne Chakacha na MS
Mzee anza na ziara za Uarabuni Sasa. Picha na makfiri wa kizungu zimetosha Sasa.Jiwe...
Unaweza ukanijibu kwa adabu hakuna sababu ya matusi na kunizomea.
Vijana wengi kutoka vyuo vikuu vya Marekani kama James Brennan wamepitia kwangu wakati wanaandika Thesis zao kupata Ph D.
Hawa wamesoma historia ya TAA na TANU kwangu.
Mimi nimesoma historia ya TANU kwanza nyumbani kwetu na katika jamii yangu kwani babu zangu ndiyo walioasisi African Association 1929.
Picha za Denis Phombeah ulizoziona hapa mimi ndiye source na nilimtafutia James Brennan.
Lakini ukiwa unaona mimi ni muongo kwa haya nikuelezayo sawa.
Nachokuomba acha kunifanyia kiburi mimi ni umri pengine sawa na mama au baba yako.
Niheshimu kama baba yako.
Huyu kijana hapo chini anaitwa John Calachi alikuwa mwanafunzi hapa Tanzania yeye na mkewe Emily na mkewe ndiye aliyepitia mikononi mwangu wakati anaandika Thesis yake kupata Ph D.
Hapa tuko sote New York hii siku alikuja kwangu kama kunishukuru kwa msaada kwa mkewe akanichukua anionyeshe mji.
Kijana aliyefunzwa adabu na mama yake.
Brooklyn Bridge, New York, with John Calachi
7 April 2011