Mwathirika mkuu wa ndoa kwa Sasa ni mwanamke! Tubadili Sheria tufunge ndoa za mikataba muolewaji alipwe pesa kulingana na mkataba!

Mwathirika mkuu wa ndoa kwa Sasa ni mwanamke! Tubadili Sheria tufunge ndoa za mikataba muolewaji alipwe pesa kulingana na mkataba!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa, kupigwa na kudhalilishwa! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!

Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake.

Labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke! Mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana! Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
 
Sasa unapotafuta mali mwenyewe halafu mali mnagawana hiyo nayo ipo sawa na je Mwanamke akikuacha inakuwaje ? Na siku hizi kesi nyingi Wanawake ndio wanaomba Talaka
Mali hutafuti mwenyewe ,wakati unapoenda kutafuta yeye anabaki analea watoto analea mimba unamlipa?
 
IMG_4347.jpg
 
Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa ,kupigwa na kudhalilishwa ! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa ! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!! Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria ! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe ! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi ! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake ,labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke !mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana !Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
Hivi wanaotaka kulipwa huwa wanawaza nini? Kwamba ndoa ni mtaji au?

Jambo la muhimu kwa mwanaume ni kusaidia kupata watoto na kuwalea.
Na nadhani huu ndio hasa ulikuwa mpango wa Mungu wa kuumba mtu mme na mke-zaeni mkaongezeke.

Mahari ni kama zawadi tu kulingana na kipato cha mtu. Tatizo wengi wamebadili ndoa kuwa mtaji.

Vijana msiogope ndoa. Wanawake wema bado wapo. Punguzeni vigezo mara mnene, mweusi/mweupe. Oa yule anajali hisia zako nawe ujali za kwake.
 
Hivi wanaotaka kulipwa huwa wanawaza nini? Kwamba ndoa ni mtaji au?

Kiukweli mi nahitaji tu mwanaume wa kunisaidia kupata watoto na kuwalea.
Na nadhani huu ndio hasa ulikuwa mpango wa Mungu wa kuumba mtu mme na mke-zaeni mkaongezeke.

Mahari ni kama zawadi tu kulingana na kipato cha mtu. Tatizo wengi wamebadili ndoa kuwa mtaji
Na ukisha zaa alafu ukaachwa unaenda wapi na hao watoto Kuna mkataba wowote unaokulinda? Bado umepelekewa moto miaka kumi !! Hiyo kumi yote unafanya anavyotaka !
 
Wanasema mnawadhalilisha kwa kisingizio Cha style za mapenzi'!!
Mbona kama wanapenda unawasingizia tu, wenginw wanalazimisha au unaowasemea ni wa wapi? Kuna singo maza ananiomba nimkule Kila siku ili hali anajua nina mke na make wangu anamjua, na sio kwamba eti ni mbaya ni mzuri wa umbo ni hawa hawa unawasemea au wapo wengine?
 
Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa ,kupigwa na kudhalilishwa ! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa ! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!! Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria ! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe ! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi ! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake ,labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke !mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana !Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
Feminist wa kiume hujuI unataka nini unakataa nini.

Unasema mwanamke analipiwa mahali kwa wazazi wake kisha tena hana mahali pa kukaa na hao wazazi which is which?
 
Na ukisha zaa alafu ukaachwa unaenda wapi na hao watoto Kuna mkataba wowote unaokulinda? Bado umepelekewa moto miaka kumi !! Hiyo kumi yote unafanya anavyotaka !
Hizo mali/pesa ambazo mwanaume anazo mwanamke unashindwaje kuzitafuta?
What if akifa? Utatafuta baba mwingine wa kusaidia kulea?

Hakuna kitu sipendi kusikia kama mwanamke kulalamika eti kaachiwa watoto! Kwanini asifight kulea watoto wake aache huyo baba aende zake?

Na wale wanaolelewa na mama pekee wapo wengi tu na wamefanikiwa hadi baba zao wanawatamani!
 
Back
Top Bottom