n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Na inapaswa kuheshimiwa na watu wote.Ndoa ni swala la Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na inapaswa kuheshimiwa na watu wote.Ndoa ni swala la Mungu
Kama mhanga ni mwanamke basi oaneni kila mtu atafute mali zake ikitokea mnaachana kila mtu aondoke na alivyovitafuta,Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa, kupigwa na kudhalilishwa! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!
Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake.
Labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke! Mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana! Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
Kwa hiyo kaja kukuuzia mimba, very simple kuna wanawake anakubebea mimba akizaa unamlipa mnaachanaMali hutafuti mwenyewe ,wakati unapoenda kutafuta yeye anabaki analea watoto analea mimba unamlipa?
Hizi zilizopo tu wanaume wanaacha kuwaoa, mnataka ziongezwe nyingine?[emoji38][emoji38]Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa, kupigwa na kudhalilishwa! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!
Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake.
Labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke! Mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana! Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
Kwani hiyo mimba na mtoto si vya kwake mleaji?Mali hutafuti mwenyewe ,wakati unapoenda kutafuta yeye anabaki analea watoto analea mimba unamlipa?