Hapo hapendwi Grand P inapendwa wallet yakeHahah mjomba Grand P
Hao unaowazungumzia ni wale wa manzese na tandale pale mtaa wa fisi Rudi nyuma fikiria kuhusu wadogo zako wa kike na watoto zako wa kike!Mbona kama wanapenda unawasingizia tu, wenginw wanalazimisha au unaowasemea ni wa wapi? Kuna singo maza ananiomba nimkule Kila siku ili hali anajua nina mke na make wangu anamjua, na sio kwamba eti ni mbaya ni mzuri wa umbo ni hawa hawa unawasemea au wapo wengine?
Sijui unaandika vitu gani wallahi.Mali hutafuti mwenyewe ,wakati unapoenda kutafuta yeye anabaki analea watoto analea mimba unamlipa?
Wakiolewa kwa mikataba si ndo watakuwa vyombo rasmi vya starehe!?Kokote unakoenda Tanzania mwanamke ni mhanga wa ndoa! Haijui kesho yake na linapotokea tatizo ni mwanamke ndie anafukuzwa ,kupigwa na kudhalilishwa ! Hakuna mahari mwanaume akafukuzwa ! Akifukuzwa ujue ni yeye aliekuwa analelewa!! Tubadili Sheria mwanamke aolewe kwa mkataba kwa usimamizi wa wanasheria ! Alipwe fedha kulingana na mkataba. Mahali iondolewe ! Pesa anayopewa mwanamke iwe Mali yake na sio wazazi ! Tumeshuhudia Mahali wanaopewa wazazi lakini mwisho wa siku akiachwa anaanza kunyanyasika kwa kuwa Hana Mahali pa kukaa na familia yake ,labda Ile mahari angepewa mwanamke mwenyewe bila Shaka Shaka angenunua hata kiwanja akajenga na akawa na kwake angesaidika zaidi! Wazazi wanachukua Mahali anaeenda kuteseka ni mwanamke !mwanamke wa Sasa anaonekana kama chombo Cha starehe! Ndio maana wanafanyiwa vitendo vya unyanyasaji sana !Sheria ya ndoa ya kimila na ya kidini imeshindwa kumsaidia mwanamke!!
Unatafuta msli mwenyewe mkeo akiwa wapi?Sasa unapotafuta mali mwenyewe halafu mali mnagawana hiyo nayo ipo sawa na je Mwanamke akikuacha inakuwaje ? Na siku hizi kesi nyingi Wanawake ndio wanaomba Talaka
Muoane wanaume kwa wanaume ili kukata mzizi wa fitinaWanawake wenyewe wanasemaje kwani?
Umtongoze,Umtolee mahari, umlishe, umvike, umfikishe kileleni, umchunge asitiwe nje afu siku mkiachana anataka mgawane Mali
#kataa ndoa
Nn kimekukuta mkuu?Kijana kataa ndoa
Ndoa ni utapeli
Ndoa Ni wizi
Hao unaowazungumzia ni wale wa manzese na tandale pale mtaa wa fisi Rudi nyuma fikiria kuhusu wadogo zako wa kike na watoto zako wa kike!
Wanawake mmeumbwa Kwa ajili yetu waache hao kufaidi Yale Mungu aliyaweka Kwa mwanamke,waswahili wanasema "fuata nyuki ule asali" Kuna kawimbi ka vijana wa hovyo kameibuka wao wanataka asali tu maumivu ya nyuki hawataki haiko hivyo Sasa.Muoane wanaume kwa wanaume ili kukata mzizi wa fitina