Tatizo sera za maji ruhusu sekta binafsi izalishe na isambaze maji sambamba na ya umma na sio hii ya sasa sekta ya umma inakuwa na monopoly kwenye sekta hii na EWURA iregulate tu, kuamua limetushinda, mbona kwenye habari tuna TBC na mashirika au vituo binafsi vya watu hakuna monopoly na TCRA inaregulate.