Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

[emoji16] mwalimu bana.Ko kutomtolea mahali ndo kunafanya apandishe presha,akae kitandani na kulia,aende kukaa jikoni usiku kununiana ugomvi mpaka kumnyima Mume wake unyumba?

Kama alipenda kutolewa mahali,angekataa kuzalishwa.Kwani alilazimishwa?[emoji848]

Labda ndivyo walivyo kubaliana kwenye swala la mahari.
Mwanaume silaha yake ni pesa na mwanamke silaha yake ni K....!!
 
Acha wote, anza upya. Waambie woteumegundua hawana sifa unazotaka
 
Unaishi na mtoto wa watu na watoto wawili umemzalisha hujamtolea hata Mia halafu unakuja na gazette aisee wewe ingekua ni bint yangu ungekiona cha mtema kuni.
 
Kila mtu anasema akae waongee. Shida sio kuongea, shida ni kwamba most men dont know anything about women na wanawake hivo hivo. Tumejikunyata na mtazamo wa jamii kua mwanaume ni kutoa matumizi na kuchakata, af mwanamke ni kulea watoto na mume. Kuna more than that. Ukijua kiundani wanawake wanataka nini ( because wanaendeshwa kwa hisia), kudeal nao sio tatizo saaana. Changamoto hazikosekani.
According to kitabu kimoja kilichojitahidi kuelezea wanawake wanataka nini, kilisema wanahitaji vitu vifuatavyo
C - closeness
O- openness
U- understanding
P- problem solving
L- loyalty
E- empathy.
I am sure mwanaume ukivifabya hivo kwa usahihi, asilimia 92% utakua na furaha ndani ya ndoa. Hyo 8% achana nayo, inaitwa kichaa chao. Hicho kinahitaji uvumilivu na roho ya chuma.
 
Kwanza pole sana,

Je mmewahi kukaa na kujadili juu ya hayo? Maana katika mahusiano naamini communication ni kila kitu

Pili kwakuwa hamjaoana, kukaa na mtu unayelala naye kila siku bila maelewano sio nzuri sana kwa afya yenu ya kiakili nyote wawili, mnaweza hata kuwa mnakuza maradhi msiyoyajua,

Ni kweli una hofu na watoto ila kiukweli mkitengana kwanza nyie hamtakuwa wa kwanza, kuna wengi wametengana ila watoto wanalelewa at a distance na wanakua wakubwa na kufanikiwa bila wasiwasi, wakiwa wakubwa wataelewa tuu..

Kuna mengi sana huokolewa kwa kufanya maamuzi sahihi mapema, kila maamuzi huwa yana collateral damage (haizuiliki) ila in the long run mambo hukaa sawa,

Kwa mimi naona maamuzi sahihi ni kukaa chini na mama watoto, mueleze juu ya maamuzi ya kutengana , sio wazo, maamuzi… then kwa kuwa unahofu na watoto waachie nyumba na mama yao waendelee kulelewa katika mazingira sahihi na we ukitoa support yako,

Nenda kaanze upya, ukijitafakari kama utaoa yoyote kati yao, usikurupuke unahitaji kukaa mwenyewe kwa muda ili kuweza kurecover na kufanya maamuzi sahihi maana kuingia kwenye official ndoa nayo si mchezo ni kipengele[emoji1787]

Unaweza sema umuoe mchepuko ila mkiingia ndo ndani ya nyumba mambo yakawa yaleyale, [emoji28]

Kikubwa una watoto wawili na watatu anakujaa hao ndo wa kupambania, [emoji817]

Mapenzi yanakuwaga na ufala mwingi sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hayatabiriki
 
Kila mtu anasema akae waongee. Shida sio kuongea, shida ni kwamba most men dont know anything about women na wanawake hivo hivo. Tumejikunyata na mtazamo wa jamii kua mwanaume ni kutoa matumizi na kuchakata, af mwanamke ni kulea watoto na mume. Kuna more than that. Ukijua kiundani wanawake wanataka nini ( because wanaendeshwa kwa hisia), kudeal nao sio tatizo saaana. Changamoto hazikosekani.
According to kitabu kimoja kilichojitahidi kuelezea wanawake wanataka nini, kilisema wanahitaji vitu vifuatavyo
C - closeness
O- openness
U- understanding
P- problem solving
L- loyalty
E- empathy.
I am sure mwanaume ukivifabya hivo kwa usahihi, asilimia 92% utakua na furaha ndani ya ndoa. Hyo 8% achana nayo, inaitwa kichaa chao. Hicho kinahitaji uvumilivu na roho ya chuma.
Hii ina appply kwa wannaawake wa majuu tuu. Hawa wetu wee wape pesa tuu ata uwe na michepuko mia watakuvumilia tuu
 
Hii ina appply kwa wannaawake wa majuu tuu. Hawa wetu wee wape pesa tuu ata uwe na michepuko mia watakuvumilia tuu
Mwanamke ukiamua kumuoa, unaanza kumshape taratibu before hujamweka rasmi. Women wako elastic, ni rahisi kubadilisha mtazamo wao kama tu akiona unampenda. Atajitahidi kwa kias kikubwa ku give back the love because by nature wao wameumbiwa upendo. Ndo maana Bible inasema, mwanaume ampende mkewe, na mwanamke amheshim mumewe. Its because by nature wao wana upendo lakini heshima ni ya kufundishwa, na wanaume kuhusu heshima wako njema lakini upendo wanajifunza.
Thats why ukiangalia the same case ukimuelezea mwanamke atasimama upande wa huyo dada because anamuelewa, lakini sisi wanaume tunamuona huyo mams ni kisempere tu.
Bora ujifunze ujaribu kufanya ushindwe, kuliko usijaribu kabisa af ubaki unalaumu
 
Ndoa zote za kibongo ndo zilivyoo mkuu...
Ni kwamba watu wanashindwq kusimulia [emoji3][emoji3]
 
Yote tisa kumi tatizo ni wewe....unamzalishaje mtoto wa watu watoto wawili wote hujamtolea mahari....hakika kilio chake ni majuto ayapatayo ... Anatamani nae aonekane mwanamke...ni sahihi unavyombeza.wanawake na sisi bhana
Ukute ndo sababu kuu ya wifi yetu kununanuna
 
Hata mimi yamenikuta haya ila mimi ni muislaam nilizama kwa mwanamke mwingine baada ya mkewang kuwa anazingua penzi lilivyonoga na huyu mwanamke mwengine ikabidi nimuoe kabisa ila sasa mkewangu wa kwanza hataki uke wenza
Hautaki wkt dini inaruhusu
Au sio muslim?
 
Mwanamke ukiamua kumuoa, unaanza kumshape taratibu before hujamweka rasmi. Women wako elastic, ni rahisi kubadilisha mtazamo wao kama tu akiona unampenda. Atajitahidi kwa kias kikubwa ku give back the love because by nature wao wameumbiwa upendo. Ndo maana Bible inasema, mwanaume ampende mkewe, na mwanamke amheshim mumewe. Its because by nature wao wana upendo lakini heshima ni ya kufundishwa, na wanaume kuhusu heshima wako njema lakini upendo wanajifunza.
Thats why ukiangalia the same case ukimuelezea mwanamke atasimama upande wa huyo dada because anamuelewa, lakini sisi wanaume tunamuona huyo mams ni kisempere tu.
Bora ujifunze ujaribu kufanya ushindwe, kuliko usijaribu kabisa af ubaki unalaumu
Umeongee point tupu mzee.
 
Na tukishauri vijana wasioe tunaonekana Wehu..

Haya acha mambo yenu tuwaachie wenyewe,, tubaki watazamaji..
 
Back
Top Bottom